Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Aiseeee !!!Kwani Mvua Imeletwa Na Serikali
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aiseeee !!!Kwani Mvua Imeletwa Na Serikali
Pogba?? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Yule mhandisi wa majengo kule Dodoma alikuwa anaeleza lakini pogba alionekana mjuaji balaa
Sent using Jamii Forums mobile app
Kule ambako mnaogopa hata Bendera? Hivi mkikaa na kujiuliza kuhusu nyie mnapata jibu gani?Bwashee tuletee picha za mlimani city!
yaani kuna watu sijui wana roho ya shetani ndani mwao, mvua kunyesha si ni neema, badala ya kwenda kushika mashamba vigwaza na kulima anaanza tena kuilalamikia mvua, mvua inanyesha maji yanatiririka yanaenda zake baharini unaendelea na shughuli zao shida nini? kwani waliambiwa sasa dar imekuwa ziwa natron?Kwa hiyo daraja limevunjika au unaanisha nni? Au daraja limezuia maji yasitembee, na huko janbwani na kigogo nani kazuia maji ni daraja la mfugale au?