Elections 2015 Updates: Mchakato na Matokeo ya kura za maoni ya Ubunge CCM nchini kote

 
Wadau nape kapita au kashindwa??????
 

viva Dr Mwakyembe.
Erythrocyte , Ndalama niliwaambia mwakyembe akishindwa ntatembea uchi kutoka dsm mpaka matema.

Nyie watoto acheni nyege za kisiasa watu wazma tupo tunaijua system
 
Last edited by a moderator:
We mwenye ID ya ihanda vipi matokeo jimbo la kongwa kata ya mlali nghumbi iduo na sagara. Ndugai kavuna nini?
 
viva Dr Mwakyembe.
Erythrocyte , Ndalama niliwaambia mwakyembe akishindwa ntatembea uchi kutoka dsm mpaka matema.

Nyie watoto acheni nyege za kisiasa watu wazma tupo tunaijua system

mkuu mwakyembe atachakazwa vibaya sana na mwanyamaki , Mungu atupe uhai .
 
Last edited by a moderator:
Wana Musoma mjini wamezoea kwa jina baisikeli yakujifuniza ya Nyerere.Veda Mathayo ameshinda kwenye uchaguzi wa ndani ccm jimbo la Musoma mjini.tukutane October 25✌✌ hapa naona Nyerere hana mpizani kabisaaa..,
 
Miukawa imejazana humu wakati ya ccm hayawahusu . Kikosi kazi ndio kinaundwa leo. Tutakutana kwenye kampeni hapo baadae.
 
viva Dr Mwakyembe.
Erythrocyte , Ndalama niliwaambia mwakyembe akishindwa ntatembea uchi kutoka dsm mpaka matema.

Nyie watoto acheni nyege za kisiasa watu wazma tupo tunaijua system

Umenimention japo hatukupinga na mimi, hata hivyo kwani kachaguliwa? Kapendekezwa kugombea?
 
Last edited by a moderator:
mkuu mwakyembe atachakazwa vibaya sana na mwanyamaki , Mungu atupe uhai .

kijana bado hukubalian na mm eeeh?! Sasa subir mwanyamaki akishinda njoo unidai laki5 na ngwenda ikitali ukufuma kumbwan mpaka matema
 
Miukawa imejazana humu wakati ya ccm hayawahusu . Kikosi kazi ndio kinaundwa leo. Tutakutana kwenye kampeni hapo baadae.

mrembo wasikunyime usingiz hao. Tunawajua akili zao sawa na nyumbu. Kwahyo nyumbu asikuumize kichwa
 
Umenimention japo hatukupinga na mimi, hata hivyo kwani kachaguliwa? Kapendekezwa kugombea?

mkuu huyo ndio tapeperusha bendera ya ccm.
Hapo muhesabie kuwa ndo mbunge wako maana huyo wa chadema ataambulia %2 tu
 
Huyu Mama Kabaka anajisumbua na kupoteza fedha zake bure. Hamwezi hata kidogo Mhe. Esther Matiko. Tarehe 25.10.2015 mtakuja kuamini maneno yangu. CCM Tarime Mjini na Vijijini ilikwishakufa.
 
Matokeo ya kura za maoni jimbo kuu la kibakwe mpaka sasa yamepatikana katika kata saba , zote Eng. Mwikola amemgalagaza Mh Simbachawene kwa kura nyingi mno, Eng ameshinda kwa fujo sehemu zote ambapo matokeo yametangazwa mfano WOTTA, WANGI, KIBAKWE ZOTE MBILI CENTER NA JUU, WINZA

Mpaka mshindi ni ENG Mwikola akifuata kwa mbali Simbachawene,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…