NGANU
JF-Expert Member
- Oct 18, 2012
- 1,919
- 393
kwani kaachiwa , si alidakwa na rushwa ?
Mkuu kwa Mwakyembe hali ikoje au uliondoka Kyela?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kwani kaachiwa , si alidakwa na rushwa ?
Wagombea ubunge mkoa wa Mara Nyangwine na Gaudencia Kabaka wamedaiwa kuanza faulo kwenye kura za maoni baada ya karatasi za kupigia kura zaidi ya elfu ishirini kukamatwa zikiwa zimeshapigwa tiki za kuwachagua. Wagombea wenzao wamegomea zoezi hivyo zoezi litafanyikaupya kesho.
SOURCE: ITV Breaking News
Tena kule kwake Mkuranga yote ipo kwa UKAWA... Mwaka huu yeye ndo mpinzani
tetesi ni kwamba ngumi zinapigwa nchi nzima .
Mathias Byabato
Umefanya vyema kutuwekea live updates, kuna watia nia hapo sioni kama wana sifa...mfano Karamagi,Kamala alitutukana kuwa tule nkende kama wanatusumbua shambani.
Dr. Aman na Kagasheki nao wapumzishwe walau siasa za Bukoba zirudi katika mstari.
Kutoka Mkoani Kagera nakuletea LIVE UPDATES ikiwemo na matokeo kadri nitakavyoyapata.
Historia kidogo
Mkoa wa Kagera una majimbo tisa ya uchaguzi ambapo wabunge wawili tu wametangaza kungatuka ambao ni Deogratias Ntukamazina wa Jimbo la Ngara na Bw Esutace Katagira wa jimbo la Kyelwa.
Saa 12:02 Adhuhuri
Hizi ni baadhi ya picha kutoka vituo mbalimbali katika kata zilizoko manispaa ya Bukoba.
wengine kutoka vyama tofauti na CCM.
View attachment 272870
View attachment 272871
View attachment 272872
Saa 10:38 Asubuhi
.Wanachama wa CCM wanaendelea na upigaji kura ingawa katika maeneo mbalimbali ya kata ya Kanyigo wilyani Missenyi wasimamizi wanalalamikia kuwepo kadi za ccm ambazo hazipo katika kitabu cha orodha ya wanachama
.Kata ya Nshambya Bukoba Mjini na maeneo mengine ya mji wa Bukoba zoezi linaendelea ingawa kuna wanachama wachache sana katika vituo.
.Mgombea mmoja katika jimbo la Bukoba(jina lake nitalitaja baada ya kupiga kura)jana aligoma kusaini makubaliano ya kutaka kila mgombea kukubaliana na matokeo na kuwa tayari kumuunga mkono atakayepitishwa .
.Wilayani Karagwe wanachama bado hawaamini macho wao kukuta wagombea wawili maarufu Gosbert Blandes(mbunge wa sasa) na Karimu Amri ambao walidaiwa kujitoa majina yao hayamo katika orodha ya wanaotakiwa kupigiwa kura.Hivyo hao wanachama siyo wagombea,baadhi ya akina mama wamegoma kupiga kura baadhi ya maeneo kwa kukosekana wagomea hao.
Wagombea kwa kila Jimbo
Bukoba Mjini:
Wagombea ni
1:Balozi Khamis Kagasheki,
2:Bw.George Rubaiyuka,
3:Bw. Josephat Kaijage,
4:Bi.Elieth Projestus
5: Dr.Anathory Amani,
6:Bw.Philbert Katabazi,
7:Bw.Mujuni Katarahiya
8: Bi.Celestina Rwezaura.
BukobaVijijini
Wagombea ni
1:Bw.Jasson Rweikiza ,
2:Bw. Nazir Karamagi
3:BW.Nelson Itagasa.
Muleba Kaskazini
Wagombea ni
1: Charles Mwijage
2: Bw.Ambrose Nshala.
Muleba Kusini
Wagombea ni
1😛rofesa Anna Tibaijuka,
2😀r Adam Nyaruhuma,
3:Bw.Stivin Tumaini,
4:Bw.Flavius Kahyoza,
5:Mhandisi Buruani Rubanzibwa,
6:Muhaji Bushako
7:Kaino Mendesi
8: Bw. Erick.
Jimbo la Ngara
Wagombea ni
1:Syprian Gwassa,
2😀r Philemon Rugumiliza,
3:Bi.Helen Adrian n
4:Bw.Wilbald Ede
5: Bw.Alex Gashaza,
6:Bw.Jelard Muhile,
7:Johakim Nchunda ,
8:Bw.Issa Samma
9: Bw.Ladslaus Bambanza.
Jimbo la Nkenge
Wagombea
1:Asumpta Mshama,
2😀iodorous Kamala,
3😀r Mazima,
4:Bw Frolent Kyombo,
5:Bw Julius Rugemalira
6:Bw......
Jimbo la Kyerwa
Wagombea ni .Innocent Seba Bilakwate,Stephano Edward Katemba
3.Lameck Chacha Nganga
4.Norbeth Kobwino
5.Sinsibath Kashunju Runyogote
6.Pancrace Shwekelela
7.Awaam Ahamada Ngalinda
Jimbo la Karagwe.
1.Mwalimu Dagobati Deogratias
2.Audax Christian Rukonge
3.Innocent Luga Bashungwa
4.Gosbert Begumisa Blandes
5.Alfred Rujwahuka
6.Amoni Chakushemeire Eustad
7.Karimu Amri
Duuu...huku ni kina muganyizi tuuu ...
hapa kuna kitu tofauti nimejifunza
maana sijaona hapo kina
Simba Mpunda (kutoka songea)
Mushi Kileo (wachaga)
Mwakatumbula Mwakyambiki (wanyakyusa)
Kikoti Kufakunoga (wahehe)
Ngosha N'gwanangwa (wasukuma)
Sanga Chengula (wakinga) n.k
hiyo ni baadhi tu ya mifano niliyoitoa ....wadau mnaweza toa zaidi.
"duu! mnaandika lakini"?
Niko hapa Majengo mapya Shy, nimepita kituo cha Shitta shule ya Msingi wasimamizi wanapapasana tu yaani watu hawapo kabisa! Magamba hapa mini wanapigwa tena!!! Safari hii ushindi wa kura 1 haukubaliki!