Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 122,494
- 96,074
Tujuzeni Wakuu Wengine Tuko Nje Ya Nchi Kidogo!
Huku ma ccm yanaibiana kura
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tujuzeni Wakuu Wengine Tuko Nje Ya Nchi Kidogo!
jimbo la kibakwe simbachawene anagawa fedha kama njugu Jana hapa kwenye kitongoji cha msangambuya Kata ya mtera mnapanga foleni unapewa 10000/_ unaambiwa chagua simbachawene kwakweli mkoa wa Dodoma takukuru imelala kuliko mkoa wowote walikuwa wameuchuna tu naamini hata wao walipoozwa kwani simbachawene na mawakala wake wamegawa fedha mchana kweupe.binafsi nimepewa 10000 na kula simpi.
Vipi Mama Spika
Mtwara vijijin hawa gasia hana mpinzan
Huku kata ya Luhundwa Simbachawene na diwani aliyeko madarakani wameiba fomu za kupigia kura kutoka kijiji cha ikuyu kupeleka vijiji wanapokubalika, hata hivyo baadhi ya matawi wanachama wamegoma kupiga kura hadi fomu 400 zilizoibwa zirudi
Kwa hali niliyoiona kwa jimbo LA Segerea na jimbo LA Ukonga Dar es Salaam, CCM wana mpasuko mkubwa sana, wanapigana wenyewe kwa wenyewe mchana kweupe huku wengine wakitamka wazi wazi kuwa hiki chama bora kife, hivyo UKAWA wakiweka watu makini katika majimbo haya ushindi ni wao asubuhi na mapema...Ujio wa Lowasa upinzani umepelekea wengi CCM kujiamini kuwa kama haki haitendeki bora twende upinzani ili chama dola CCM Kijifie zake
Bavicha nawataka mtulie. Mda wenu tulikaa kimya huu ni mda wetu wa maoni. Tulieni sindano iwaingie sawa sawa.
Upo nchi gani?Tujuzeni Wakuu Wengine Tuko Nje Ya Nchi Kidogo!
Kuna mtu yupo moshi mjini ananipa taarifa kuwa Davis Mosha anagawa rushwa kama njugu