Isike Moses
JF-Expert Member
- Feb 12, 2013
- 2,789
- 4,245
Ndiyo 'mfumo' ulivyo-walea kupata madaraka.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
jimbo la kibakwe simbachawene anagawa fedha kama njugu Jana hapa kwenye kitongoji cha msangambuya Kata ya mtera mnapanga foleni unapewa 10000/_ unaambiwa chagua simbachawene kwakweli mkoa wa Dodoma takukuru imelala kuliko mkoa wowote walikuwa wameuchuna tu naamini hata wao walipoozwa kwani simbachawene na mawakala wake wamegawa fedha mchana kweupe.binafsi nimepewa 10000 na kula simpi.
Wakuu habari, leo ndio leo, ccm nchi nzima wanafanya kura za maoni ya kuwapitisha wagombea wake, ili waweze kupeperusha bendera ya ccm kwenye uchaguzi mkuu, kila mmoja hapo alipo ataweza kutupa matokeo ya jimboni kwake, ili tujue vigogo gani wamekatwa na nani ameingia na nani ametoka, mie nipo mkuranga hapa jimbo la adam malima, nitawapa matokeo, bado kura zinapigwa.
Sindano iwaingie nyie mnaopigana wenyewe Kwa wenyeweBavicha nawataka mtulie. Mda wenu tulikaa kimya huu ni mda wetu wa maoni. Tulieni sindano iwaingie sawa sawa.
Jimbo la Magufuli ni tabu tupu
Mwaka huu tunawachoma sindano mbele na nyuma. Hasa hasa weweSindano iwaingie nyie mnaopigana wenyewe Kwa wenyewe
Mwaka huu tunawachoma sindano mbele na nyuma. Hasa hasa wewe
Leo itakuwa mwanzo au mwisho wa historia ya Juliana Shonza na Mtela mwampamba ndani ya CCM. Vijana hawa walivamia chama chetu kwa pupa na kuwa karibu na viongozi wa juu wa chama kama wapiga propaganda lakini leo ndio mwanzo au mwisho wa safari yao ndani ya CCM. Unajua kwanini nasema hivyo?
1, Vijana wanawania kupeperusha bendara ya CCM katika nafasi za Udiwani, Hivyo wakishinda utakuwa mwanzo mzuri wa kujipenyeza ndani ya CCM na wakishindwa kwenye kura za maoni bhasi huo nao utakuwa mwisho wao ndani ya siasa za ccm
2. Vijana hawa walikuwa wanapewa shavu na kushikwa mkono na vigogo wa chama wa juu ambao nao hao vigogo wapo katika mchakato wa kura za maoni hivyo vigogo hao wakipata nafasi ya kupeperusha bendera ya ccm itakuwa ahueni kwa Mtela na Juliana lakini ikitokea vigogo hao wataangshwa kwenye kura za maoni za ubunge basi Mtela mwampamba na Juliana shonza watasahaulika kabisa katika siasa za ccm.
Ndugu wana JF tuwaombee makada hawa wa ccm wasipatwe na dhoruba la kisiasa katika mchakato wa kura za maoni leo hii
Leo itakuwa mwanzo au mwisho wa historia ya Juliana Shonza na Mtela mwampamba ndani ya CCM. Vijana hawa walivamia chama chetu kwa pupa na kuwa karibu na viongozi wa juu wa chama kama wapiga propaganda lakini leo ndio mwanzo au mwisho wa safari yao ndani ya CCM. Unajua kwanini nasema hivyo?
1, Vijana wanawania kupeperusha bendara ya CCM katika nafasi za Udiwani, Hivyo wakishinda utakuwa mwanzo mzuri wa kujipenyeza ndani ya CCM na wakishindwa kwenye kura za maoni bhasi huo nao utakuwa mwisho wao ndani ya siasa za ccm
2. Vijana hawa walikuwa wanapewa shavu na kushikwa mkono na vigogo wa chama wa juu ambao nao hao vigogo wapo katika mchakato wa kura za maoni hivyo vigogo hao wakipata nafasi ya kupeperusha bendera ya ccm itakuwa ahueni kwa Mtela na Juliana lakini ikitokea vigogo hao wataangshwa kwenye kura za maoni za ubunge basi Mtela mwampamba na Juliana shonza watasahaulika kabisa katika siasa za ccm.
Ndugu wana JF tuwaombee makada hawa wa ccm wasipatwe na dhoruba la kisiasa katika mchakato wa kura za maoni leo hii