Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 122,494
- 96,074
Huku Serengeti mwamko ni mdogo wa wapiga kura, wagombea wawili wamesusa baada ya yule mwenzao (Kebwe) kugawa rushwa ovyo. Inasemekana zoezi linaweza simama.
Wacha yatowane ngeu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huku Serengeti mwamko ni mdogo wa wapiga kura, wagombea wawili wamesusa baada ya yule mwenzao (Kebwe) kugawa rushwa ovyo. Inasemekana zoezi linaweza simama.
Leo itakuwa mwanzo au mwisho wa historia ya Juliana Shonza na Mtela mwampamba ndani ya CCM. Vijana hawa walivamia chama chetu kwa pupa na kuwa karibu na viongozi wa juu wa chama kama wapiga propaganda lakini leo ndio mwanzo au mwisho wa safari yao ndani ya CCM. Unajua kwanini nasema hivyo?
1, Vijana wanawania kupeperusha bendara ya CCM katika nafasi za Udiwani, Hivyo wakishinda utakuwa mwanzo mzuri wa kujipenyeza ndani ya CCM na wakishindwa kwenye kura za maoni bhasi huo nao utakuwa mwisho wao ndani ya siasa za ccm
2. Vijana hawa walikuwa wanapewa shavu na kushikwa mkono na vigogo wa chama wa juu ambao nao hao vigogo wapo katika mchakato wa kura za maoni hivyo vigogo hao wakipata nafasi ya kupeperusha bendera ya ccm itakuwa ahueni kwa Mtela na Juliana lakini ikitokea vigogo hao wataangshwa kwenye kura za maoni za ubunge basi Mtela mwampamba na Juliana shonza watasahaulika kabisa katika siasa za ccm.
Ndugu wana JF tuwaombee makada hawa wa ccm wasipatwe na dhoruba la kisiasa katika mchakato wa kura za maoni leo hii
Kutoka Arusha ccm hali tete wafuasi wake wamejitokeza wachache sana na waandikishaji wanasinzia kwa kukosa watu source: radio sun rice 94.85 arusha
Kutoka Arusha ccm hali tete wafuasi wake wamejitokeza wachache sana na waandikishaji wanasinzia kwa kukosa watu source: radio sun rice 94.85 arusha
je Musoma Vijijini Prof. Muhongo V/s Mkono khali ikoje?
Na lini wewe ukaandika thread za kuiombea ccm mema kama si unafiki na propaganda za kitoto hizo?
Mtashangaa kwa magufuli atashinda CHADEMA
atakayeshinda ni yule atakayetoa rushwa kubwa...
Kutoka Arusha ccm hali tete wafuasi wake wamejitokeza wachache sana na waandikishaji wanasinzia kwa kukosa watu source: radio sun rice 94.85 arusha
Baada ya Leo ndio tutajua ugumu au urahisi wa kazi walionayo ma-campaigner wa ukawa na ccm
je Musoma Vijijini Prof. Muhongo V/s Mkono khali ikoje?
Mathias Byabato
Umefanya vyema kutuwekea live updates, kuna watia nia hapo sioni kama wana sifa...mfano Karamagi,Kamala alitutukana kuwa tule nkende kama wanatusumbua shambani.
Dr. Aman na Kagasheki nao wapumzishwe walau siasa za Bukoba zirudi katika mstari.
kwani kaachiwa , si alidakwa na rushwa ?Mpigie simu bw. Nape Nnauye umjulishe atawashughulikia faster!
Jiandae kisaikolojia hizi sio zama za ndio mzeeMwaka huu tunawachoma sindano mbele na nyuma. Hasa hasa wewe