mdafanga
JF-Expert Member
- Apr 15, 2015
- 618
- 197
Mwigulu kapita?
Mwigulu kapita iramba
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwigulu kapita?
Adam malima aangukia pua kura za maoni katika jimbo la mkuranga.
nasikia tabora ni jimbo pekee ambalo halijawahi kuongozwa na mbunge mmoja miaka 10 mfululizo...
matokeo kata ya Sejeli Jobu Ndugai kapita aisee kapta kura 807 na palingo 434
lete takwim mkuu...
Maana huyo jamaa n rais wa baadae
Jimboni kwa Nape nako vipi??
Rais gani mtoa rushwa?
Vituo nilivyovipata mpaka sasa
Masimba
Mwigulu 88
Jairo 1
Kilimba 0
Amon 0
TYOSELA
Mwigulu 73
Jairo 0
Kilimba 0
Amon 1
Mlandala
Mwigulu 50
Jairo 0
Kilimba 3
Amon 0
Mang'ole
Mwigulu 173
Jairo 6
Kilimba 0
Amon 0
MSAI
Mwigulu 294
Jairo 35
Kilimba 59
MALUGA
Mwigulu 322
Kilimba 5
Jailo 2
Amoni 7
UWANZA
Mwigulu 172
Jairo 8
Kirimba 23
Amon 2
Nganguri
Mwigulu 727
kilimba 2
jairo 2
Amon 0
KISIRIRI
Mwigulu 1587
Jairo 56
Kilimba 21
Amon 12
Kadiria mwenyewe kwa mwelekeo huu matokeo yataishiaje