Elections 2015 Updates: Mchakato na Matokeo ya kura za maoni ya Ubunge CCM nchini kote

Elections 2015 Updates: Mchakato na Matokeo ya kura za maoni ya Ubunge CCM nchini kote

Mnamo siku ya leo kulitegemewa kufanyike uchaguzi ndani ya chama cha CCM
Hapa Nyamongo wilayani Tarime

Wagombea hiyo nafasi ya ubunge walikuwa watatu
Nyambari Nyangwine
Ryoba Kangoe
Ghimunta

Uchaguzi ulitakiwa kufanyika leo, katika HALI ya sintofahamu Kumbe watu walipiga kura usiku wa kuamkia leo Kiongozi mmoja wa juu wilaya Alipewa gari mpya na hela

Sasa mchezo huo ulichezwa na wachache tu ndani ya chama Ndipo wale waliokosa ikabidi tu waseme ukweli juu ya kinachoendelea na kilichofanyika usiku.Kweli kura zimekamatwa!

Sasa swali ni
hao waliosema huo ukweli wa kutibua dili la wenzao. Je, nao iwapo wangepewa hizo hela na magari Wangesema ama wangenyamaza mchezo uendelee?

Hapa Takukuru inabidi ifike huku fasta ili Nyambari ajibu hii tuhuma!

Guys ktk hichi kipindi tutashuhudia mengi mno!

Ni huyu huyu Nyambari alidaiwa kuwagawia watu piki piki, vyerehani, na hotpots Alileta makontena ya hivyo vitu!

Halafu sisiemu bila aibu wanasema EL ni fisadi, hakuna msafi ndani ya sisiemu, wote ni rushwa kwa kwenda mbele kutafuta uongozi!
 
ndio kiongozi tabora mjini hao ni wazee wa tano unaondoka, rage kakutana na waswahili wenzake wamemnyoosha yeye si mzee wa porojo akasahau yupo na wazawa wenzake wazee waporojo pia sasa hoi
damu isiyo na hatia haipotei bure .
 

Attachments

  • attachment-2.jpeg
    attachment-2.jpeg
    4.4 KB · Views: 2,817
  • attachment-5.jpeg
    attachment-5.jpeg
    12 KB · Views: 2,824
Last edited by a moderator:
Katika hali iliyotegemewa na wananchi wa Kiteto kuona mbunge wa zamani Ben Ole Nangoro anashindwa,..... matokeo ya awali yanaonyesha kuwa maeneo kadhaa amepitwa kwa kura nyingi...
 
Wakuu vip kwa Kongwa kwa dr. wangu Chiongani aliyetaka kutolewa roho naNAIBU SPIKA? "Samahani wakuu, ndugai kangu mimi sio MUHISHIMIWA"
 
Wewe ndiye mjinga kuliko maCCM yote ..hapo nilipokoleza ni physics ya wapi au ndo ktk wale wanaofikiri kwa Masaburi au ndo akili zile za kina Nepi.

kakaa! Chadema hawatusumbui kwasababu akili zao sawa na nyumbu.

Mpaka sasa Chadema imepiga hatua 10 mbele na imerudi nyuma hatua 15 kwahyo wark done = 0.

Hawa jamaa nisawa na nyumbu alitangulia kurukia mton nyumbu mmoja ambaye n mbowe na wengne wakamfuata kama unavyowajua nyumbu wanavyorukiana sasa bahat mbaya mamba kawashtua sasa wamesambaratika kila nyumbu yupo kivyake..

Tuonane oct


 
Back
Top Bottom