Elections 2015 Updates: Mchakato na Matokeo ya kura za maoni ya Ubunge CCM nchini kote


Halafu sisiemu bila aibu wanasema EL ni fisadi, hakuna msafi ndani ya sisiemu, wote ni rushwa kwa kwenda mbele kutafuta uongozi!
 
ndio kiongozi tabora mjini hao ni wazee wa tano unaondoka, rage kakutana na waswahili wenzake wamemnyoosha yeye si mzee wa porojo akasahau yupo na wazawa wenzake wazee waporojo pia sasa hoi
damu isiyo na hatia haipotei bure .
 

Attachments

  • attachment-2.jpeg
    4.4 KB · Views: 2,817
  • attachment-5.jpeg
    12 KB · Views: 2,824
Last edited by a moderator:
Katika hali iliyotegemewa na wananchi wa Kiteto kuona mbunge wa zamani Ben Ole Nangoro anashindwa,..... matokeo ya awali yanaonyesha kuwa maeneo kadhaa amepitwa kwa kura nyingi...
 
Wakuu vip kwa Kongwa kwa dr. wangu Chiongani aliyetaka kutolewa roho naNAIBU SPIKA? "Samahani wakuu, ndugai kangu mimi sio MUHISHIMIWA"
 
Wewe ndiye mjinga kuliko maCCM yote ..hapo nilipokoleza ni physics ya wapi au ndo ktk wale wanaofikiri kwa Masaburi au ndo akili zile za kina Nepi.



 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…