Elections 2015 Updates: Mchakato na Matokeo ya kura za maoni ya Ubunge CCM nchini kote

Elections 2015 Updates: Mchakato na Matokeo ya kura za maoni ya Ubunge CCM nchini kote

hizo ni fikra finyu sana kwamba mtu akishindwa bas ndo kaabika. nn maana ya ushindani, kwan kabla ya kuomba ubunge alikuwa haishi. chuki zako hukupaswa kuziexpose namna hii. shame
 
Morogoro kusini tafadhali kama kuna mtu ana matokeo
 
Jimbo la singida Kaskazini nyalandu kashinda: Katika kata ya Ilongero. Nyalandu 667, Mpombo 88, Monko 608/1/15, 10:57:30 PM: Am Still Damas: Kata ya Maghojoa: Nyalandu 743, Monko 72, Mpombo 26, Aron 16, Mungwe 15
8/1/15, 10:57:30 PM: Am Still Damas: Kata ya Mrama: Nyalandu 744, Monko 125, Mpombo 138, Sabasaba 50, Mungwe 19
8/1/15, 10:57:30 PM: Am Still Damas: Kata ya Mughamo. Nyalandu 156, Monko 712, Sabasaba 40, Mungwe 23, Mpombo 16
8/1/15, 10:57:30 PM: Am Still Damas: Kata ya Mwasauya: Nyalandu 1360, Monko 146, Mpombo 65
8/1/15, 10:57:30 PM: Am Still Damas: Kata ya Ikhanoda: Nyalandu 1146, Monko 158, Mpombo 158, Mungwe 108, Sabasaba 34

Mkuu naomba matokeo ya manyoni magharibi na mashariki
 
Ni kweli
Tetesi :mwakyembe✅,Nyalandu ✅, Mwigulu ❌, Mhongo ✅, Riziwani ✅, Nape ❌, Jerry Slaa ❌
Simbachawene❌, Pallangyo✅

Nape anaelekea kushinda kwa kadirio la 98%
 
Hivi kama Matokeo ya CCM wenyewe kwa wenyewe yanachelewa hivi kutoka ya UChaguzi Mkuu si yatachukua mwezi mzima!!
 
kijana bado hukubalian na mm eeeh?! Sasa subir mwanyamaki akishinda njoo unidai laki5 na ngwenda ikitali ukufuma kumbwan mpaka matema

Tatizo hawa vijana wanasikiliza maoni ya wapiga debe wa stendi na wanywa viroba ndio wanachukulia kuwa ni maoni ya wananchi wote.
 
Habari nyingi humu si za kweli. Jukwaa hili siku hizi limeingiliwa. Mods rudisha heshima ya jukwaa.
 
Back
Top Bottom