kitukizima
Member
- Feb 10, 2015
- 49
- 24
hizo ni fikra finyu sana kwamba mtu akishindwa bas ndo kaabika. nn maana ya ushindani, kwan kabla ya kuomba ubunge alikuwa haishi. chuki zako hukupaswa kuziexpose namna hii. shame
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jimbo la singida Kaskazini nyalandu kashinda: Katika kata ya Ilongero. Nyalandu 667, Mpombo 88, Monko 608/1/15, 10:57:30 PM: Am Still Damas: Kata ya Maghojoa: Nyalandu 743, Monko 72, Mpombo 26, Aron 16, Mungwe 15
8/1/15, 10:57:30 PM: Am Still Damas: Kata ya Mrama: Nyalandu 744, Monko 125, Mpombo 138, Sabasaba 50, Mungwe 19
8/1/15, 10:57:30 PM: Am Still Damas: Kata ya Mughamo. Nyalandu 156, Monko 712, Sabasaba 40, Mungwe 23, Mpombo 16
8/1/15, 10:57:30 PM: Am Still Damas: Kata ya Mwasauya: Nyalandu 1360, Monko 146, Mpombo 65
8/1/15, 10:57:30 PM: Am Still Damas: Kata ya Ikhanoda: Nyalandu 1146, Monko 158, Mpombo 158, Mungwe 108, Sabasaba 34
Figisufigisu za davis mosha hapo moshi mjini,
View attachment 272966
Ni kweli
Tetesi :mwakyembe✅,Nyalandu ✅, Mwigulu ❌, Mhongo ✅, Riziwani ✅, Nape ❌, Jerry Slaa ❌
Simbachawene❌, Pallangyo✅
ameshindwaje sasa?
Hivi kama Matokeo ya CCM wenyewe kwa wenyewe yanachelewa hivi kutoka ya UChaguzi Mkuu si yatachukua mwezi mzima!!
mkuu mwakyembe atachakazwa vibaya sana na mwanyamaki , Mungu atupe uhai .
kijana bado hukubalian na mm eeeh?! Sasa subir mwanyamaki akishinda njoo unidai laki5 na ngwenda ikitali ukufuma kumbwan mpaka matema
Korogwe mjini, Mary chatanda kidedea
Amos makala naye yupo taabani mvomero,sadiq murad anamgalagaza