Binti Magufuli
JF-Expert Member
- Apr 2, 2011
- 7,479
- 5,157
mrembo wasikunyime usingiz hao. Tunawajua akili zao sawa na nyumbu. Kwahyo nyumbu asikuumize kichwa
Yanajazana km miinzi kwenye mzoga. Wakatatue matatizo yao huko kimenuka
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mrembo wasikunyime usingiz hao. Tunawajua akili zao sawa na nyumbu. Kwahyo nyumbu asikuumize kichwa
Jason Rweikiza kawasambaratisha Nazir Karamagi na Nelson Itagasa
Bora tu aangukie huyu alikua hajadili hoja yeye ni Ku attack upinzani bora amekatwa
Hiyo ndio ccm kama huna pesa za kuhonga hupati uongozi, moja ya sifa ya ccm ni lazima ujue kutoa rushwa au kuhonga. Maswaiba wao Takukuru wamejificha.
mureba Anna Tiba kidedea.................huko Ngara Issa Samma naye kidedea
kutoka Sengerema Masha anaongozi kwenye vituo vingi.
Huyo mwanachama wa CCM mwenye kadi hiyo aliruhusiwa kupiga kura ya maoni!Mkuu sijaielewa hii picha...
ndo muone sasa umuhimu wa kumtumia LowasaDuuu, kura za maoni tu wapiga kura walikuwa zaidi ya laki?
Unatumiaje fisadi mkuu acha habari zako bana.ndo muone sasa umuhimu wa kumtumia Lowasa
Yuko sahihi mkuu,,,,ye kasema wark done sio work done