Elections 2015 Updates: Mchakato na Matokeo ya kura za maoni ya Ubunge CCM nchini kote

Elections 2015 Updates: Mchakato na Matokeo ya kura za maoni ya Ubunge CCM nchini kote

Bora make mama alikuwa kama gunia la viazi
 
Kamala amerudi ajirekebishe sasa, kufanya kosa sio kosa ila kurudia kosa ndo mbaya zaidi
 
Nimefurahi mno kukatwa kwa ASUMPTA MSHANA wa Nkege.
 
Mwenye matokeo ya uhakika wilaya ya nyamagana na ilemera anisaidie tafadhar
 
Nilivyoenda nyumbani niliyoyakuta nikajua huyu jirani yangu hatarudi tena bungeni maana hata wanakijiji anachotoka hawamkubali
 
Jimbo langu huyo mama hakulitendea haki mimi nilimsaidia vijana akanisahau sasa kazi nikwake
 
Watani zangu nao duh!Mna wanachama wengi hivyo wa magamba!badilikeni
 
tulia ww, aibu unaona ww unanijua?
Waonee aibu ndg zako.

Mkuu itakua ngumu wewe kunijua mimi, na pia niwie radhi kwa kutonielewa, niliweka fungua na funga semi nikimaanisha haya maneno ya "aibu naona mimi" hua unayatamka wewe kule MMU, kwa hakika haya ni maneno ya kike kike, na una tabia za kike kike, punguza upuuzi wa kutumia miguu kufikiri.
 
...kalipayukapayuka sana pumba bungeni hasa bunge la katiba, wangekapitisha ukawa tupate mteremko....
 
safi sana kalikuwa kanatoa maneno ya shombo sana..alale sasa na mume wake vizuri

Ndio kajue kuwa maneno ni sumu na hii iwafikie wabunge vilaza wote wa ccm walio honga na kupitishwa kwenye kura za maoni wasubiri october ukawa inawamalizia kabisa
 
Nilivyoenda nyumbani niliyoyakuta nikajua huyu jirani yangu hatarudi tena bungeni maana hata wanakijiji anachotoka hawamkubali

Kalikuwa na nyodo sana,sura yenyewe hakana kiswahili hakajui,kazi kuisifu ccm tu
 
Back
Top Bottom