Chikawe atapewa viti maalum
tulia ww, aibu unaona ww unanijua?
Waonee aibu ndg zako.
safi sana kalikuwa kanatoa maneno ya shombo sana..alale sasa na mume wake vizuri
katika jambo la maana wamefanya wanaNkenge ni hilo
Nilivyoenda nyumbani niliyoyakuta nikajua huyu jirani yangu hatarudi tena bungeni maana hata wanakijiji anachotoka hawamkubali