Rweye
JF-Expert Member
- Mar 16, 2011
- 17,057
- 7,611
Vijijini, na atashinda na kuteuliwa kuwa Waziri wa Nishati aendelee kutupelekea umeme vijijini
Atawakomesha wazee wa vitaru make sahivi kama nawaona vile wanaanza kujiharishia ..subirini kipoe kwanza msiwe na haraka ili mchezo uishe