Elections 2015 Updates: Mchakato na Matokeo ya kura za maoni ya Ubunge CCM nchini kote

Elections 2015 Updates: Mchakato na Matokeo ya kura za maoni ya Ubunge CCM nchini kote

Tatizo la Muhongo kachuma na kula na wa kwao kiasi kwamba wananchi wake hawaoni tatizo na kasoro alizozionyesha alipokuwa waziri.
 
Nan anaejua matokeo ya majimboya mikoa ya Mwanza, na Simiyu?
 
Fatilia yaliyowakuta wapinzani wake waliopita, walikufa mazingira ya kutatanisha kabla ya kura ya maoni..

mazingira ya kutatanisha yapi wakati chinavachi alikuwa mwathirika,cd4 zilishuka sana,alifia muhimbili nenda ukapate takwimu zake.
 
Mkuu tupe Ukonga,Instagram kila mgombea anasema ameshinda hapo Ukonga,tupe uhalisia!!!
Hata kwa yeyote anaejua Hilo jimbo,Mengine sijasikia Utata!!ok na kule kwa kabaka Gaudensia na Matiko Easther sijui nani kashinda
Yeyote mwenye taarifa

Una akili sawa sawa wewe..Matiko yuko CCM? Au umezinduka toka kilabuni
 
Jimbo la Masasi Rashid Mohamed Chuachua, Jimbo la Ndanda Mariamu R. Kasembe. Jimbo la,Lulindi Jarome Bwanausi.

Huyu kasembe kakimbia masasi kaenda ndanda duuhh huyu mama zaidi ya kilaza ila vuguvugu la gesi wanamasasi walimkomesha naona kakimbia
 
Mbona hushangai el kuutaka urais

CDM hawajielewi kabisa yaani wamechanganyikiwa kabisa, Muhongo aliwahi kuanikwa wapi kama alivyoanikwa Lowassa? yaani Lowassa awe msafi alafu Tibaijuka na Muhongo wawe wachafu? alafu CDM mnapata wapi credibility ya kuwasuta wabadhirifu wakati ndo wamekinunua chama chenu?
 
Kwani ilikuwaje mkuu? Hebu dadavua vizuri hilo bao la mkono lilikuwaje (kama ni hongo au wizi wa kura).
nifah uchaguzi wa tarime umehairishwa kwasababu yamekamatwa masanduku yenye kura zaidi ya 6000 ambapo kura hizo zimewekwa alama ya tick kwa nyambari na waziri Kabaka.
Inshort kura zimepigwa kabla ya uchaguzi.
 
Last edited by a moderator:
Wanasema ccm cyo chama cha mafisadi etiii wamewatimua mafisadi wote ila muhongo na chenge naona wanapeta tuu
 
Back
Top Bottom