Kim Jong Jr
JF-Expert Member
- Mar 15, 2014
- 11,074
- 20,608
:fencing:
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mavunde yule MC mwenye sauti nzito?
Inasikitisha sanaaaaa! Alafu waje wapewe uwazili tena!! Yaani CCM ni majanga juu ya majanga.! Nini maana ya kamati ya Nidhamu..? Mtu ambaye ameshasimamishwa mpaka na rais. Ila sishangai mkuu. System ya hizi kura za maoni sio nzuri. Viongozi wengi waliokuwa madarakani tayari walishachota Card feki kibao miaka ya nyuma na wakaziweka standby kwa uchaguzi ujao. Mtu huyu anagawa card na pesa juu siku chache kabla ya uchaguzi. Na ndio maana unaona wanarudi madarakani wote. Kinachotakiwa ni wananchi kutumia kura zao 25/October kuwa judge vizuri, kama hawafai wapeni CHADEMA. Ndio njia pekee!!
hizo idadi ya kura za maoni CCM hazina uhalisia