Elections 2015 Updates: Mchakato na Matokeo ya kura za maoni ya Ubunge CCM nchini kote

Elections 2015 Updates: Mchakato na Matokeo ya kura za maoni ya Ubunge CCM nchini kote

Inasikitisha sanaaaaa! Alafu waje wapewe uwazili tena!! Yaani CCM ni majanga juu ya majanga.! Nini maana ya kamati ya Nidhamu..? Mtu ambaye ameshasimamishwa mpaka na rais. Ila sishangai mkuu. System ya hizi kura za maoni sio nzuri. Viongozi wengi waliokuwa madarakani tayari walishachota Card feki kibao miaka ya nyuma na wakaziweka standby kwa uchaguzi ujao. Mtu huyu anagawa card na pesa juu siku chache kabla ya uchaguzi. Na ndio maana unaona wanarudi madarakani wote. Kinachotakiwa ni wananchi kutumia kura zao 25/October kuwa judge vizuri, kama hawafai wapeni CHADEMA. Ndio njia pekee!!
 
Mshindi ni Engineer Gashaza 2. Samma 3. Mama pekee 4. Dr. Sengati. Haya matokeo nimetajiwa na jamaa yangu. Mwenye matokeo kwa usahihi atupatie
 
Wakuu katika hali isiyokuwa ya kawaida jana nimeshuhudia kwa macho yangu jinsi makada wa chama hii kongwe wakutumia vyema kauli mbiu yao ya katibu mwenenzi wa chama hicho wa bao la mkono ikianza kutumika wazi wazi hata kabla ya uchaguzi mkuu haujafika.


Mimi najiuliza kama bao hili la mkono limeanza kutumika mapema namna hii huko kwa akina Nyambari Nyangwine hali itakuwaje oct. 25?
 
Inasikitisha sanaaaaa! Alafu waje wapewe uwazili tena!! Yaani CCM ni majanga juu ya majanga.! Nini maana ya kamati ya Nidhamu..? Mtu ambaye ameshasimamishwa mpaka na rais. Ila sishangai mkuu. System ya hizi kura za maoni sio nzuri. Viongozi wengi waliokuwa madarakani tayari walishachota Card feki kibao miaka ya nyuma na wakaziweka standby kwa uchaguzi ujao. Mtu huyu anagawa card na pesa juu siku chache kabla ya uchaguzi. Na ndio maana unaona wanarudi madarakani wote. Kinachotakiwa ni wananchi kutumia kura zao 25/October kuwa judge vizuri, kama hawafai wapeni CHADEMA. Ndio njia pekee!!

Uwaziri wanaupataje mkuu? Wakat watakua wapinzan rasmi
 
Natabiri (japo sio Sheikh Yahaya) kuwa huu mchakato wa ubunge na udiwani utaigawa zaidi ccm hata zaidi ya mchakato wa urais.
Hebu fikiria mwenyekiti wa ccm mwenyewe JK alivyo declare pale Diamond Jubilee kuwa Prof. Tibaijuka 'amekosa maadili' na 'wakamuomba awapishe' lakini wanachama wamemrudisha.
Na Chenge Andrew naye karudishwa na wanachama.
Sasa katika ukweli kama huu uongozi wa chama na hasa mwenyekiti wanapaswa kuonyesha kuwa hayo majina matano waliyopitisha Dodoma yalikuwa masafi kuzidi yaliyoachwa (walioshiriki mkutano wengi wameshasema kuwa yalikuwa mfukoni mwa mwenyekiti).
Na ni mwenyekiti huyo huyo aliyemsifia sana EL wakati wa kufunga bunge hata zaidi ya waziri mkuu aliyepo!
 
Mkuu mimi naona tunapoteza muda tuu wa uchaguzi. Panga pangua CCM ndio wanachukua nchi. Maana bao la mkono ni kawaida na inaonekana hamna wa kumkemea mwenzake maana kila mtu anajua ndio njia pekee wanayotumia kushinda.
 
Kwani ilikuwaje mkuu? Hebu dadavua vizuri hilo bao la mkono lilikuwaje (kama ni hongo au wizi wa kura).
 
Kinachonifurahisha ni kwamba wanaopita kura za maoni basi wanasherekea utadhani wamemaliza kazi

Jihadharini kuna mdudu anaitwa UKAWA, ataliza watu huyoo

Ha haaa...sorry nlikuwa nawapa tahadhari tu, zamani ndo ilikuwa hvyo, ilikuwa ukipita kwny uteuzi wa CCM tu unajua tayari umeula

Upepo ulishabadili direction
 
Back
Top Bottom