Elections 2015 Updates: Mchakato na Matokeo ya kura za maoni ya Ubunge CCM nchini kote

Elections 2015 Updates: Mchakato na Matokeo ya kura za maoni ya Ubunge CCM nchini kote

The best thing CCM has to do ni kumrushia Lowassa hayo makopo yake aende nayo ili asiwasumbue baadae.
 
Kama kuna watu alikuwa anawategemea sana Lowasa katika mikakati yake basi ni pamoja na huyu Hussein Bashe. Bashe ni miongoni mwa makada wa CCM ambao walitajwa kuhamia CHADEMA kumfuata bosi wao Lowasa. Pia alikuwepo Mussa Zungu, Kangi Lugola, Christopher Ole Sendeka nk. Ushindi wa makada hawa hakika ni pigo kubwa sana kwa Lowasa. Sidhani kama kuna dalili za yale Mafuriko ya makada wa CCM kukimbilia CHADEMA. Mpaka sasa, katika watu wake wa karibu, ni mkewe tu ndiye aliyeenda CHADEMA.

Na bado

Hujui siasa..... Wala hujui mipango iliyopo, ni vyema ukae kimya....

Na ni tokea lini Ole Sendeka alikuwa kambi ya Lowassa?
 
Kama kuna watu alikuwa anawategemea sana Lowasa katika mikakati yake basi ni pamoja na huyu Hussein Bashe. Bashe ni miongoni mwa makada wa CCM ambao walitajwa kuhamia CHADEMA kumfuata bosi wao Lowasa. Pia alikuwepo Mussa Zungu, Kangi Lugola, Christopher Ole Sendeka nk. Ushindi wa makada hawa hakika ni pigo kubwa sana kwa Lowasa. Sidhani kama kuna dalili za yale Mafuriko ya makada wa CCM kukimbilia CHADEMA. Mpaka sasa, katika watu wake wa karibu, ni mkewe tu ndiye aliyeenda CHADEMA.

Na bado
Hizi ni habari njema, yale mafisadi ktk mfumo yabaki huko huko!
 
Ningekuwa mwana ccm ningepatwa na hofu sana wafuasi kindakindaki wa EL kubaki ccm na kuwa kwenye vyombo nyeti vya maamuzi.

Mfano Nchimbi, Kimbisa et al. Kama unajua siasa utakuwa umenielewa

Furahia Bashe kushinda kura za maoni kwa sasa

Huyu Hot Lady hajui siasa kabisa...... Kwa taarifa yake hii ni vita ya ndani na nje..... Huwezi kuangusha dola kwa vita ya nje tu.....
 
Duh mtoa uzi ww siasa haujiui ni bora utulie tu topic ya kitoto sana
 
Wadau nimejaribu kufuatilia uchaguzi za CCM uliofanyika jana. Kila kona kila sehemu kumukuwa na malalamiko ya uchakachuaji wa kura. Kwa mfano wagombea wengine wamekuwa wakigawa rushwa, kuwa na card feki za kupigia kura au kuwa na karatasi ambazo tayari zinaalama ya ndio kwa mgombea. Nimejiuliza maswali mengi sana kama CCM wenyewe kwa wenyewe wanataka kufungana na bao la mkono..? Je uchaguzi wa rais utakuwaje..? Hapo naona bila ubishi bao la mkono limeshafungwa..! Au wadau mnaonaje..?
Mfano eneo la Tabata, kuna mgombea anaonyesha kushinda kwa zaidi ya idadi ya watu waliopiga kura katika kata moja. Nasikia alikuwa na card za kumwaga anagawia watu na sh 10,000 ukampigie kura. Mtu unaitwa John unatumia card imeandikwa Salehe na unapiga kura bila kugundulika. Nasikia huyu Diwani aliyekuwa anatetea kiti chake alisashukua card za kumwaga miaka ya nyuma akaziweka kabatini kuisubiri siku ya jana.Inasikisha sanaaaaaaaa isee..!
Hivi kweli CCM haijui jinsi ya kuweka rekodi za wanachama wake ktk kila kata..? Hii inadhihirisha system mbovu. Au wadau mnaoaje...?
Pia kama kuna mdau mwenye matokeo ya Wasira na Ndungai atulushie..
 
Lowasa ana hela lakini watu hana.Nilishangaa MBowe aliposema eti lowasa atawaleta wanaCCM mamilioni kuhamia CHADEMA.Lowasa ana watu CCM kawatoa wapi? Akina mbowe jiandaeni hao hao mlionao ndio atakaowatumia yeye kaja mweupe hana wafuasi huyo ana wapenzi tu wa muda kutegemea na hela alizowamwagia.Mtu mwenye watu CHADEMA ni SLAA SIO MBOWE na CUF ni SEIF sio Lipumba.

Lowasa mliyemchukua CHADEMA mmechukua mtu asiyekuwa na watu huyo alikuwa anategemea wana CCM wenye watu wampe na wamsaidie kampeni.Mbowe sababu hana watu hawezi mbeba Lowasa.Ni wajanja wawili wasio na watu wanaoviziana Mbowe akidhani Lowasa ana watu na Lowasa akivizia na kudhani mbowe ana watu.Wamekutana wajanja wa mjini wawili wasiokuwa na watu.CHADEMA itagaragazwa safari hii uchaguzi mkuu hadi basi.Matokeo ya safari yatakuwa ya aibu kwa CHADEMA mark my words.

Umeongea kishabiki mnooo mi ni mzaliwa wa nzega power ya ukawa sasa naitambua wala hilo halitishi ilibidi mshtuke nyie magamba kwann mshirika wa karibu wa lowassa kabaki huko anania gani kumbuka mlimfanyia umafia2010 je sasa anafikiria nini???? Unasema lowasaa hana watu kwahyo wale wa monduli, 4umovement, friends of lowassa, wale wa musoma waliogoma kujiandikisha kisa lowassa we huwaoni??? Nikupe taarifa makao makuu ya chadema kadi za uanachama zimeisha coz wiki hii wamepokea wanachama wengi mnoo je hao wamefata nini???? Ninawasiwasi nawe unaposema lipumba hana watu we unaendeshwa na mahaba ya magamba ongea ukweli ndugu
 
Hizi akili za pro-ufisadi ni za mgando sana. Kama chadema katiks kura za maoni mshindi anashinda kwa kura 56 na waliobaki chini ya hapo. Wakati ccm mshindi anashinda kwa kura 6000 na wansomfuatia ~5000, ~4000 nk. Hivi nani mwenye wanachama wengi hapo?

hizo idadi ya kura za maoni CCM hazina uhalisia
 
WanaCCM wanajifariji sana, wameumia sana Lowassa kuhamia CHADEMA walidhani hawezi kufanya hivyo, jamaa akafanya maamuzi magumu.
Vibaraka wa Lowassa waliopo CCM ni hatari zaidi kwa CCM kuendelea kuwakumbatia maana watasumbua tu ndani ya CCM.
Huo ni mchuzi wa samaki tu, samaki mwenyewe yuko UKAWA, kama CCM hawataki shombo ya Samaki, basi na mchuzi waumwage basi.
 
Wale watuhumiwa 4 wa escrow Chenge, Muhongo, Ngeleja na Tibaijuka wameshinda kwa kishindo kura za maoni kule CCM. Wanaccm waliopiga kura za maoni wamedharau adhabu walizopewa wagombea hao na uongozi wa juu wa chama. Lakini ukweli unabaki palepale hawa ni WATUHUMIWA tu kama alivyo Nape pale Takukuru Lindi!
 
Kama kuna watu alikuwa anawategemea sana Lowasa katika mikakati yake basi ni pamoja na huyu Hussein Bashe. Bashe ni miongoni mwa makada wa CCM ambao walitajwa kuhamia CHADEMA kumfuata bosi wao Lowasa. Pia alikuwepo Mussa Zungu, Kangi Lugola, Christopher Ole Sendeka nk. Ushindi wa makada hawa hakika ni pigo kubwa sana kwa Lowasa. Sidhani kama kuna dalili za yale Mafuriko ya makada wa CCM kukimbilia CHADEMA. Mpaka sasa, katika watu wake wa karibu, ni mkewe tu ndiye aliyeenda CHADEMA.

Na bado

Lowasa ataendelea kuwa hatari kwa CCM daima.Tena hao waliobaki CCM ndo hatari zaidi.Jamaa atakuwa na mtandao ndani na nje ya CCM na CDM
 
Mpaka muda huu sijapata matokeo ya Kura za maoni juu ya mama Anna Tibaijuka ila nasikia anapumulia mashine ,mwenzake Prof muhongo amepita kwa kishindo na bila shaka atarudi bungeni please please itakuwa ni matusi kama atarudi kwa kupitia jimbo,
 
Napata wasiwasi na uhai wa ccm, ukijumlisha kura za maoni za ccm zilizopigwa na wanachama wote hazizidi 3m kwa maana nyingine wanachama active wa ccm hawazidi 3m ambao pangapangua lazima wachague ccm. Kwa maana nyingine JP anakazi ya ziada kuwashawishi wasiokuwa wapenzi wa ccm wamchague.

Magufuli anakazi ya kushawishi wapiga kura 18m amabao si wapenzi hai wa ccm jambo ambalo sidhani kama ni rahisi hivyo. Kwa upande mwingine nashindwa kuelewa wanaccm waliomdhamini Lowasa pwani walikuwa 270,000. mbona waliopiga kura za maoni hawafiki hata elfu hamsini? Napata shaka sana na takwimu za nchi hii.
Wataopiga kura ni milioni 6 ya wote waliojiandikisha, wengine walitaka vitambulisho tuu, pia kuna kura za kuharibika hapo! Hivyo kama wana milioni 3 tayari do the maths!
 
KURA ZA MAONI CCM
1. Mwigulu - Iramba

2. Nape - Mtama

3. Mwakasaka - Tabora Mjini

4. Mama Sitta - Urambo

5. Kadutu - Ulyankulu

6. Bashe - Nzega

7. Ngeleja - Sengerema

8. Seif - Igunga ktk jimbo jipya.

9. Masaburi - Ubungo

10. Patel - Ukonga

11. Prof Kamala - Nkenge, Misenyi

12. Kagasheki - Bukoba mjini

13. Lukuvi - Isimani

14. January - Bumbuli

15. Muhongo - Musoma vijijini

16. Ndugai - Kongwa

17. Chumi - Mafinga

18. Kigola - Mufindi kusini

19. Mgimwa - Mufindi kaskazini

20. Filikunjombe - Ludewa

21. Mgimwa - Kalenga...

22. Lusinde - Mtera

23. Imani Moshi - Kaliua

24.Mwakasaka -Tabora mjini

25.Fenala Mkangara -Kibamba

26.Mapunda-Mbinga mjini

27.Masele -Kahama

28.Antony Mavunde-Dodoma
 
Back
Top Bottom