Diva Beyonce
JF-Expert Member
- Mar 6, 2014
- 12,913
- 11,271
Duuuh! UKAWA inabidi wajipange kwelikweli maana kama mambo yenyewe ndio haya uchaguzi mkuu itakuwaje?
Hao waliokamata hayo maboks ni akina nani?
Hili Jimbo Mohammed Mtoi wa CDM/Ukawa hana haja ya kupiga kampeni, asubiri kuapishwa tu.
Kwani umesahau bao la mkono?Fenera mukangara atauweza muziki wa john mnyika?
wadau naomba kuhakikishiwa matokeo ya simbachawene kibakwe na dharau zake.
Hivi ndio style gani hii ya kuripoti matokeo?
Tunaomba matokeo basi
Mlalo
Same mashariki
Same magharibi
Temeke
Tatizo umekunywa ulansi asubuhi asubuhi hapo tanangozi.