Elections 2015 Updates: Mchakato na Matokeo ya kura za maoni ya Ubunge CCM nchini kote

Kwa habari nilizozipata kutoka Bunda mjini ni kwamba Wasira anaenda kupita. Pia jimbo la Mtama Lindi mheshimiwa Nape Nnauye Mambo yamemunyookea...nitawaletea kura zilivyo kwa kila mgombwa soon.Kama una ukweli wa sehemu yako tuwekee..pia naambia naibu spika Mh Ndugai upepo upo vizuri kwake.
 

Mkuu..simbachawene analindwa na system..takukuru hawana nguvu kabisa mpaka malalamiko ya hosea juu ya sheria ya takukuru ilekebishwe kujtoa kwa mwendesha mashtaka ya serikali
 
Babu masatu wanzita wasira bado "YUPO" tu hadi wakati wa utawala wa Lowasa -By mako nyerere
Mzee wa goli la puchu nae kaona ile nafasi yake ya uvuvuzela iko mashakani kaamua
aanze kutafuta hifadhi (kwa miaka 5 ) ili walau vugu vugu lipoe kwanza.
 
Last edited by a moderator:
Bavicha nawataka mtulie. Mda wenu tulikaa kimya huu ni mda wetu wa maoni. Tulieni sindano iwaingie sawa sawa.
 

Kutoka Arusha ccm hali tete wafuasi wake wamejitokeza wachache sana na waandikishaji wanasinzia kwa kukosa watu source: radio sun rice 94.85 arusha
 
Bavicha nawataka mtulie. Mda wenu tulikaa kimya huu ni mda wetu wa maoni. Tulieni sindano iwaingie sawa sawa.
Sindano iwaingie nyie mnaopigana wenyewe Kwa wenyewe
 
Huku Serengeti mwamko ni mdogo wa wapiga kura, wagombea wawili wamesusa baada ya yule mwenzao (Kebwe) kugawa rushwa ovyo. Inasemekana zoezi linaweza simama.
 
Kuna mtu yupo moshi mjini ananipa taarifa kuwa Davis Mosha anagawa rushwa kama njugu
 
Kamanda Byabato nikumbushie mother wa ml kumi za mboga aniliniahidi kunipa binti yake ili nami nipatiemo kamugawo
 
Kamanda Byabato nikumbushie mother wa ml kumi za mboga aniliniahidi kunipa binti yake ili nami nipatiemo kamugawo maana amekuwa kimya sijui ndo nimetoswa
 
Kiongoz makini anajua idad ya wagonjwa wa serikali kuliko hata mimi.by anne makinda spika bunge la jamhuri ya wasikivu
 

Tuwaombe ili iweje?
 

Tuwaombe ili iweje? Maana hata wakipataa badala ya kutetea wananchi wanatetea chama
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…