Elections 2015 Updates: Mchakato na Matokeo ya kura za maoni ya Ubunge CCM nchini kote

Elections 2015 Updates: Mchakato na Matokeo ya kura za maoni ya Ubunge CCM nchini kote

Unaposema ccm wananshida kiulaini Iringa mjini sabab zipi?,Kwanza Mwakalebela ameifanyia nn Iringa mpaka ashinde kiulaini?.
 
mkuu acer tafadhali nijulishe matokeo ya singida mjini..
 
Last edited by a moderator:
FUONI, ZANZIBAR.
Mzee Yusuf ameshinda.
DIMANI, ZANZIBAR.
Abbas Mwinyi ameshinda.
UBUNGO.
Didas Masaburi ameshinda.
URAMBO.
Margert Sitta ameshinda.
MTERA.
Livingston Lusinde ameshinda.
LUDEWA.
Deo Filikunjombe ameshinda.
KONGWA.
Job Ndugai ameshinda.
ISIMANI.
William Lukuvi ameshinda.
KIBAMBA.
TUNDURU KUSINI.
Mtutura A. Mtutura chalii, kashinda Mpakate.
MULEBA KASKAZINI.
Charles Mwijage kashinda.
SUMBAWANGA MJINI.
Hillaly Aesh Amour kashinda.
SHINYANGA.
Steven Maselle kashinda.
BUSANDA.
Lolesia Bukwimba kashinda.
MASWA MASHARIKI.
Stanslaus Nyongo kashinda.
KISHAPU.
Suleiman Nchambi kashinda.
ROLYA.
Lameck Airo kashinda.
BUCHOSA.
Charles Tizeba kashinda.
NZEGA VIJIJINI.
Hamis Kigwangala kashinda.
TANGA MJINI.
Omari Nundu kashinda.
KYELA.
Mwakyembe kashinda.
MUSOMA VIJIJINI
Nimrod Mkono kashinda.
ZANZIBAR.
Naibu Waziri wa mambo ya ndani, Pereira Silima
kaangukia pua.
SENGEREMA.
William Ngeleja kamshinda Lawrence Masha.
BUKOBA MJINI.
Balozi Khamis Kagasheki kamshinda hasimu
wake mkuu, Meya Anatory Amani.
KIGOMA MJINI
Dr Aman Kabourou ameshinda.
Ismail Aden Rage, aanguka Tabora mjini.
JIMBO LA KILOLO.
Prof Peter Msolla hoi kwa Venance Mwamoto.
Adam Malima apigwa chini Mkuranga.
Prof. Sospeter Muhongo ameshinda kwa 99%
Musoma Vijijini kati ya wagombea wenzake 6!!
Nzega Mjini Bashe kashinda kwa asilimia 99%
Mwigulu Nchemba Ashinda kwa 99 % kura za
maoni Ubunge jimbo la Iramba
Umecopy na kupaste bila kujua kilichoandikwa. Pitia upya ulchoandika.
 
Wakuu salama
Hatimaye Sendeka aliyekuwa mbunge wa simanjiro anapumulia mashine baada ya mpinzani wako Toima kumpita mbali kwa kura nyingi,mpaka sasa Toima anaongoza kwa kumuacha sendeka mbali sna.Habari zaidi zinasema sendeka hakuamini hali iliyopelekea kuanzisha vurugu ili kuharibu matokeo,Baada ya kuona hali inazidi kuwa mbaya zaidi kwani tayari ameshapigwa kama kata kumi na moja ndipo alipoomba msaada serikalini mapaka sasa tunazungumza FFU wako kila kona,HIYO NDO HALI HALISI YA SIMANJIRO

Hatashinda tuu hiyo ni ccm
 
Cdm wajihadhari wasipokee kila mtu. Huyu na Makongoro Mahanga sina imani nao
mako mahanga haendi chadema anaenda kwa lowasa. kumbuka lowasa ni chama kinachojitegemea ndani ya chadema kama ilivyo chadema ndani ya ukawa. elewa hilo.
 
Plz bado tunapata mkanganyiko wa mbunge aliyeshinda kura za maoni jimbo la mbinga mjini
 
Mbunge aliyemaliza muda wake jimboni nanyumbu Danstan Mkapa ameangukia pua, Ameshindwa na aliyekuwa mwenyekiti wa halmashauri ajulikanaye kwa jina la Duwa.
 
Singida mjini watu wanatumia nokia za tochi??!!! Mbona matokeo hamtupi???!!
 
mako mahanga haendi chadema anaenda kwa lowasa. kumbuka lowasa ni chama kinachojitegemea ndani ya chadema kama ilivyo chadema ndani ya ukawa. elewa hilo.

Siyo kweli.....lakini mawazo yako yanaheshimika.
 
Back
Top Bottom