MAHANJU
JF-Expert Member
- Aug 26, 2014
- 5,252
- 8,003
Kwa kipindi hiki ambacho wagonbea wa CCM wako kwenye mchakato wa kura za maoni kuwapata wagombea wao kumezuka malalamiko wao kwa wao kuchezeana rafu nyingi kwenye Uchaguzi.
Malalamiko wanayolalamikia ni pamoja na wizi wa kura,kutoa rushwa kila kona ya nchi.Tumesikia aliyekua mbunge wa Iramba Magharibi Mwigulu nchemba alikamatwa na TAKUKURU na kuhojiwa masaa matatu, Katibu wa itikadi na uenezi Taifa wa CCM alikamatwa na TAKUKURU na kuhojiwa masaa matano kwa kutoa rushwa huko jimbo la mtama mkoani Lindi,Wagombea wengi wanalalamika kukamatwa kwa kura zilizopigwa tayari ili hali Uchaguzi bado hujaanza.
My take;
Kwa hali hii ambapo tunaenda kupiga kura kushindanisha vyama mbali mbali 25 October hali itakuaje? Rafu hizi upinzani/UKAWA mmejiandaaje?
Mjue kabisa ushindi ni mgumu na rahisi kama mnavyofikiria, wanoeni mawakala wenu ipasavyo. Mjiulize ni kwanini CCM wanalalamikiana wao kwa wao? Mjue ikifika October ntalalamika ninyi.Ni tahadhari tu!
Malalamiko wanayolalamikia ni pamoja na wizi wa kura,kutoa rushwa kila kona ya nchi.Tumesikia aliyekua mbunge wa Iramba Magharibi Mwigulu nchemba alikamatwa na TAKUKURU na kuhojiwa masaa matatu, Katibu wa itikadi na uenezi Taifa wa CCM alikamatwa na TAKUKURU na kuhojiwa masaa matano kwa kutoa rushwa huko jimbo la mtama mkoani Lindi,Wagombea wengi wanalalamika kukamatwa kwa kura zilizopigwa tayari ili hali Uchaguzi bado hujaanza.
My take;
Kwa hali hii ambapo tunaenda kupiga kura kushindanisha vyama mbali mbali 25 October hali itakuaje? Rafu hizi upinzani/UKAWA mmejiandaaje?
Mjue kabisa ushindi ni mgumu na rahisi kama mnavyofikiria, wanoeni mawakala wenu ipasavyo. Mjiulize ni kwanini CCM wanalalamikiana wao kwa wao? Mjue ikifika October ntalalamika ninyi.Ni tahadhari tu!