JAMHURI
JF-Expert Member
- Dec 15, 2010
- 449
- 60
CCM Kiteto kimenuka mdogo wake Nangoro anusurika kuuawa ofisini aokolewa na viongozi wa CCM, ni baada ya kuingia ndani ya ofisi za CCM wanachama wahofu kuwa aliyenda kutoa rushwa
Katibu CCM alonga adai alitumwa na kaka yake Mbunge Nagoro kuja kuchukuwa matokeo
Wanachama wadai mpaka kieleweke..polisi watanda na silaha kali za moto
Katibu CCM alonga adai alitumwa na kaka yake Mbunge Nagoro kuja kuchukuwa matokeo
Wanachama wadai mpaka kieleweke..polisi watanda na silaha kali za moto