Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Tatizo nyie kura za maoni mtafanyia stendi na vijiweni ndio mana kila wakati mnakuwa wrong
cdm ilikuwa ya kwanza kabisa kufanya kura za maoni mkuu na zilifanyika boda tena kwa utulivu mkubwa sana , abraham mwanyamaki alishinda kwa kishindo , hapa kyela tayari anaitwa mbunge , hutaki unaacha .