Elections 2015 Updates: Mchakato na Matokeo ya kura za maoni ya Ubunge CCM nchini kote

Elections 2015 Updates: Mchakato na Matokeo ya kura za maoni ya Ubunge CCM nchini kote

Tatizo nyie kura za maoni mtafanyia stendi na vijiweni ndio mana kila wakati mnakuwa wrong

cdm ilikuwa ya kwanza kabisa kufanya kura za maoni mkuu na zilifanyika boda tena kwa utulivu mkubwa sana , abraham mwanyamaki alishinda kwa kishindo , hapa kyela tayari anaitwa mbunge , hutaki unaacha .
 
msagatiherry huyo Abedi na siasa haijui maana yeye maslahi yapo mbele . ndio aliyoipotosha ccm 2010 kuwa monica mbega anakubalika kumbe ikawa kinyume so kwa taarifa yako safari hii CCM makao makuu wana watu wao kila jimbo hawadanganyike kwa kuwasikilza watu kama abeid ambayo ni mpotoshaji.
 
Last edited by a moderator:
OSHABU kwa sasa Mufindi kuna msjimbo matatu baada ya kuongezwa jimbo la Mafinga mjini, wote Cosato Chumi na Mahmoud Mgimwa wameshinda kwny kura za maoni!
 
Last edited by a moderator:
Kwa Msigwa huyu ninayemfahamu!
Mtasubiri sana
 
Ccm imexpadate rest in peace Ccm iringa ngome ya chadema@ watacheck picha October Ccm vijana wairinga wameamka tunataka mabadililo jk sekta ya kilimo kasahau 70% mkapa nae 70% sasa Hapo unasema Ccm Ccm tubadilike@ washatuona wajinga
 
Ccm wanachukuwa jimbo iringa mjini. Chadema mujiandae kukabidhi mapema kabisa october siyo mbali najuwa wengi mtakimbia humu ndani
 
Katika moja ya post zangu nilimshauri Lau Masha asiende kugombea sengerema akomae tu hukuhuku, au aje nimshauri pa kugombea lakini hakunisikiliza yeye akaamua tu kwenda sengerema wala hakuwa na maandalizi yeyote ya kupata ushindi sijui nani aliyemdanganya.

Ujanja wa kusaka pesa unao ila wa kusaka kura huna kaka njoo tukufundishe unakuwa mbishi, sasa pesa umepoteza na kura haujapata bora ukatulia kwenye biashara zako siasa huwezi mdogo wangu.

Kama vipi njoo nikuonyeshe pa kugombea hata kwa ACT unaweza ambulia kura chache lakini sidhani jipange kwa 2020 umri bado unakuruhusu.
 
Hizo n ndoto za mchan kweupe iringa mjini ccm ilishazikwa makanyagio pale
 
Iringa Msigwa ndio kila kitu na hajawai tokea mbuge kama yeye kamwe n ndhani ccm watakuwa n busara na mapenzi mema na wanairinga wakiacha kusimamsha mgombea iringa ili jembe liendelee kufanya kazi ya wanairinga.
 
BabaKo unajisumbuwa bure kubishana CCM iringa mjini ni jimbo lao tayare tena mapemaa saaa saba mchana
 
Last edited by a moderator:
Ww bwabwaja uwezavyo lakin wanairinga wenywe tunajua nini tunafanya na tutaamua kweny kura 25 October ucjal San
 
Tutakachofanya n kumpa madiwan weng zaid mwambie kikulacho na ndaki watafute biashara nyingin maan ulimwengu Wa siasa wanaumliza mwez ujao
 
BabaKo imekula kwa Nakuonea Huruma kama umekula HeLa za Msigwa imekula kwake
 
Last edited by a moderator:
mengi atajinyoga asee limuhongo likirudi kisha lipate uPM.

TULIMWAMBIA HUYO MZEE wa kimachame kwamba hakumtendea haki muhongo na kuwa wananchi watamrudisha katika system

muhongo hata akiwa raisi hamuwez mengi kamwe.....
 
Hat huyo Msigwa naishia kumuon kweny TV n mkutanoni ciijui PESA yake n sidhn kam anagwa PESA kwan si utaratibu wake na wanairinga wenyew tulikubali akomae sio apige deal
 
Back
Top Bottom