UNDENIABLE
JF-Expert Member
- Feb 26, 2013
- 2,326
- 1,314
teh teh!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ccm makundi mwaka huu yatawanyonga Lema hana mpinzani Arusha
Matokeo Mkoa wa MBEYA
Rungwe. Kasesela
Kyela. MWAKYEMBE
Busokelo. MWAKIBETE
MBEYA DC. Nyenza
MBEYA Jiji. Kajuni
Mbozi. Zambi
CHUNYA Lupa. Mwambalaswa
Chunya SONGWE. Mlugo
Alipokwenda Komba ndipo ccm inaelekea kwa sasa.
Kwani wewe upo wapi kama si huko?alikoenda Komba ''wewe hutakuja kwenda hata iweje''.
Bashe na Kigwangallah wapo majimbo tofauti.
Wana jf, yule nguli wa maneno ya kejeri bungeni na kwa vyombo vya habari hatimaye amebwagwa chali katika matokeo ya awali jimbo la mkurunga. Hii imethitishwa katika matokeo ya awali katika kata mbili amvazo zimesjatoa matokeo.
Aidha mke wake na wapambe walionekana wKihaha huko na huku kuwaadaa idara ys wazai na wanawake lakini hata hivyo kachemsha.
Mh. Malima analalamikiwa na wananchi kwakushindwa kuwaboreshea miundo mbinu kama vile barabara.
Pia huduma xa jamii kama vile shule,afya umeme na maji. Kwaniaba ya wapenda maendeleo, nachukua fursa hii kuwashukuru wanamkurunga kwa maamuzi magumu.
MKURANGA BILA MALIMA INAWEZEKANA
Wakuu
Jimbo la NAMTUMBO kwa Vita Kawawa mwenye taarifa tafadhal Amepita
Wakuu
Jimbo la NAMTUMBO kwa Vita Kawawa mwenye taarifa tafadhal tujuzane