Elections 2015 Updates: Mchakato na Matokeo ya kura za maoni ya Ubunge CCM nchini kote

Elections 2015 Updates: Mchakato na Matokeo ya kura za maoni ya Ubunge CCM nchini kote

Tibaijuka na Assumpta imekula kwao

Imekula vipi kwa Tibaijuka wakati kawagaragaza wale mahasidi waliotumwa kugombea kutekeleza mradi wa wale waliokwapua pesa za Escrow na kugawiana kwenye lumbesa kutoka benki ya Stanbic?
 
Hivi chenge rafiki mpenzi wa Lowasa amepita kura za maoni au hakugombea kabisa?
 
Mabaki ya Lowassa chamani yameshinda. Ameshinda Chenge, Bashe, Lugola na Serukamba. Tutawaonesha

Mzee Tupatupa
 
Edrew Chenge - Kura 20984 -87.26%
Masanja Kadogosa - Kura 2660 -11.06%

kabla ya kura watu walikua hawatak hata kumsikia lakn amemwaga pesa na chumvi had wasiohusika nao imewafikia
Bariadi bado giza sana
 
Mabaki ya Lowassa chamani yameshinda. Ameshinda Chenge, Bashe, Lugola na Serukamba. Tutawaonesha

Mzee Tupatupa

Mzee wangu ukweli unapenya mpaka kwenye MFUPA na maumivu yake kama ya MFUPA ulioliwa na CANCER.

Wagombea wote wamepenyeza RUPIA kilichoshindikana ni ukubwa tu wa RUPIA yenyewe....Mzee wangu kwa sasa sema MIMi NI MSAFI na si SISI ni WASAFI..............

Hakuna MGOMBEA aliyegombea bila kutoa TAKRIMA.............

Mzee wangu ukweli unauma sana sana,naomba ni kwambie tu CCM bila RUSHWA haiwezekani hata kidogo....
 
What do you expect kama upinzani wenyewe ushaanza urafiki na watu wa aina hii, eti ushahidi mahakamani siku hizi ndio nyimbo zao huko mwanzo awakujua kabla ya kuwaita watu mafisadi ilitakiwa wawe na ushahidi wa mahakamani kwanza.

Wangekuwa wapo na Dr.Slaa sasa hivi wangekuwa wako busy wanaendelea na shughuli zao za fitna na watu kama hawa wangekuwa wanafikiriwa sana na makada wao kuwapigiwa kura, lakini CDM wameamua kusafisha njia ya mafisadi, kwenye majukwaa hawapo tena na ata wakirudi CD ya yao ya ufisadi imeshachuja ni majanga trustworthy tena aipo, ata huyo Chenge kumn'goa tena wasahau and for people like us may be we should get a life this is a lost cause CCM itaendelea kuwakombatia watu kama hawa for a long tiiiime.

Wacha wazungu waje wajichotee kwa ushauri mmbovu wa watu kama na ikiwezekana washirikiane nao Chenge huyu anaepinga hadharani TPDC kuwa mmiliki wa watanzania anataka vitalu ikiwezekana wapewe matajiri bado ana nafasi kwenye chama kinacho jinadi kinasimamia maslahi ya watu mbona kazi.
 
sipati picha pale Chenge anapomnadi mgombea ubunge Ukawa ktk majimbo ya rafiki zake pendwa kama Chenge,Serukamba,Bashe,Lugora,Msukuma na Ole sendeka
 
Mzee wangu ukweli unapenya mpaka kwenye MFUPA na maumivu yake kama ya MFUPA ulioliwa na CANCER.

Wagombea wote wamepenyeza RUPIA kilichoshindikana ni ukubwa tu wa RUPIA yenyewe....Mzee wangu kwa sasa sema MIMi NI MSAFI na si SISI ni WASAFI..............

Hakuna MGOMBEA aliyegombea bila kutoa TAKRIMA.............

Mzee wangu ukweli unauma sana sana,naomba ni kwambie tu CCM bila RUSHWA haiwezekani hata kidogo....

Tetty hili ni funzo gani kwa wana UKAWA + Dr Slaa wanaopinga Lowassa kupokelewa na kupewa nafasi ya kugombea urais? Funzo kubwa tunalopata ni kuwa WANANCHI WA TANZANIA hawaangalii UADILIFU wakati wa kuchagua. Wana vipimo vyao hivyo UKAWA ikitaka kushinda uadilifu kisiwe kipimo cha kumchagua mgombea wake!
 
Mzee wangu ukweli unapenya mpaka kwenye MFUPA na maumivu yake kama ya MFUPA ulioliwa na CANCER.

Wagombea wote wamepenyeza RUPIA kilichoshindikana ni ukubwa tu wa RUPIA yenyewe....Mzee wangu kwa sasa sema MIMi NI MSAFI na si SISI ni WASAFI..............

Hakuna MGOMBEA aliyegombea bila kutoa TAKRIMA.............

Mzee wangu ukweli unauma sana sana,naomba ni kwambie tu CCM bila RUSHWA haiwezekani hata kidogo....

Ni kweli kabisa, maana hata hapo CHADEMA imethibitika zimetolewa 10b ili kununua ugombea. Rushwa ni kansa ya taifa.
 
na Tibaijuka yumo jamani! Ati na Rugemalila! Ngoja tuone kama Tibaijuka na rugemalila watampitisha huko vikao vya juu! Si walimkata Lowasa kwa kigezo cha maadili???
Hakha Huyu si Rugemalila wa ESCROW jamani!!
Huyu ni kijana mpya kabisa katika siasa na naona amejitahidi kwakweli. Anaishi hapa Uswazi maeneno ya Kijiweni S jina tu ndo linamponza. Kule kwao wanasema Jina Baya linamuua mwenyelo. Itabidi ajiite Emmanuel
 
Back
Top Bottom