Elections 2015 Updates: Mchakato na Matokeo ya kura za maoni ya Ubunge CCM nchini kote

Elections 2015 Updates: Mchakato na Matokeo ya kura za maoni ya Ubunge CCM nchini kote

Namshauri huyo jamaa asiweke resource zake hapo... nasari anaenda kuweka ushindi wa kihistoria

Keep watching
 
Hongera sana camanda Jd uwezo unao nimekuona wananchi wanakukubali kwa kazi zako'utavuka salama
 
Dah! Naona aibu kujitambulisha mbele za watu kuwa Mimi ni Mnyamwezi wa Tabora.

Nilifikiri baada ya Rage tutajifunza kumbe dah.
Huu mkoa tutakufa masikini aisee.

UKAWA hebu tuokoeni jamani, hamieni Tabora ndiyo iwe ngome yenu kuu
 
Unaona taarabu hizo ulizoandika hapo juu, mtoto mchelemchele.

mkuu hebu achana na mm..
Mm sina utani na wala sitokuja kuwa na utani na ww.. Mtu ambaye naweza kuwa na utani naye ni mama yako tu. Maana huyo ananijua vilivyo na mm namjua vilivyo. Lakn ww achana kabisa na mm na staki uniquote
 
Mwigizaji Irene Uwoya ameashinda kura za maoni Ubunge Viti Maalum (vijana) huko Tabora kwa kupata kura 38 huku mpinzani wake akipata kura 34. Ubunge wanukia kwa Irene, heko kwake.
aisee CCM wanafanya mchezo na Nchi Hii.yaani ubunge sasa umekuwa kama VICOBA, Hii ni Aibu kwa Taifa. Hv wanavyovita viti maalum wanamuwakilisha nani na mapesa wanayopata ilhali mahospitalini hakuna dawa. Kweli Katiba hii Haitufai.
 
Sipati picha hawa wakina bongo movie wote ndio wangeingia bungeni, eti Steve Nyerere naye anataka awe mbunge.

Si ndio hapo walitaka kutuletea mascript bungeni kugeuke location... akili za kuigiza hawana za kutetea mwananchi wanazitoa wapi???
 
Mmmmh, wenye waume bungeni waanza kujiandaa kisaikologia.
Bora mara mia Wastara.
 
Bado sana wala asijigambe anasubiriwa Dodoma tar 7 ijumaa kesho kutwa atakutana na vijana wenzake wasomi na wenye sifa.
 
Sasa na zile picha za bikini kwenye internet, kweli jamani?
Hakuna kipengele cha maadili hapo.
Maadili yanafatiliwa Upinzani tu CCM hiyo haipo,we subiri kuona maigizo na mipasho bungeni
 
Nimewaona wote humu wapumba....kabsa mtu hata hata ajawa mbunge wa viti maalum rasmi af mnaanza kumponda hvyo na wakat bado ana safar kubwa sanaaaa,,watanzania bana mtu akshavuka hatua moja mnaanza kuponda hata kabla hajapita hatua ya pili nyie mafal..... kweli yan
 
Alafu eti nimpigie Magufuri kura alafu kura yangu hiyo itunike kuingiza kina Uwoya bungeni kama wabunge wa viti maalumu.Maana kura za mgombea uraisi hutumika kupata wabunge wa viti maalumu.Nani atakuwa kanirogo?
 
Back
Top Bottom