Elections 2015 Updates: Mchakato na Matokeo ya kura za maoni ya Ubunge CCM nchini kote

Elections 2015 Updates: Mchakato na Matokeo ya kura za maoni ya Ubunge CCM nchini kote

Mbona unalia lia au wew ndie Mrs khalid ndikumana kataut
Nimewaona wote humu wapumba....kabsa mtu hata hata ajawa mbunge wa viti maalum rasmi af mnaanza kumponda hvyo na wakat bado ana safar kubwa sanaaaa,,watanzania bana mtu akshavuka hatua moja mnaanza kuponda hata kabla hajapita hatua ya pili nyie mafal..... kweli yan
 
Tafakari maisha yako kama mambo ya siasa huyawezi...

Mkuu mambo ya siasa yanagusa maisha ya kila mmoja wetu, uwe kwenye siasa au usiwepo, mambo ya bungeni ndo yanaongoza nchi
 
Mkuu mambo ya siasa yanagusa maisha ya kila mmoja wetu, uwe kwenye siasa au usiwepo, mambo ya bungeni ndo yanaongoza nchi

Mambo ya siasa yana mambo mengi sanaaa mkuu ndo maana watu wanasomea siasa,,na ndo maana mie huwa sipendi sanaaa kujaji chama flan sijui kmefanya hv hv no sifanyagi hvyo aisee kila vyama huwa vnamakosa yake makubwa tu...
 
Hawa ccm hawako serious na ishue serious za taifa, tuwache utani hivi uwoya atafanya nini bungeni
Uwoya kusema ukweli ni mweupe bungeni kuna Ku changia hoja kusoma miswada sidhani kama alimaliza form four
 
This are the making of a failed political party isiyo na succession planning wala naturing processes of their loyal serving cadre to grow within this political party.

Inakuwaje kuna watu wamekuwa na uvccm tangia wako mashuleni, vyuoni, wana elimu leo mtu kama haya huyu awapiku katika nafasi ya kugombea ubunge? Wakati hao waliopitia UVCCM wanakielewa chama kikanuni, misingi na ideology zaidi.

Something is not right ina maana hakuna hakina Juliana Shonza wakutosha huko ambao wanaishi kwa siasa mpaka aje mtu kama Irene Uwoya ambae clearly hana mchango wowote, kazi kupiga picha akionyesha sehemu zake za mwili na wala sidhani kama na mawazo yoyote ya kusaidia taifa zaidi kufuata marupurupu ya ubunge.

Shame on you CCM hivi vitu tunavitegemea CDM ambao bado wachanga na hata hao wasanii wao akina Sugu na Prof J are somehow political in their verses; lakini sio taasisi iliyokuwa madarakani for more than 50 years kama CCM bado kutegemea umaarufu wa wasanii wa bongo flavor sijui sanaa ya filamu kushinda kura zidi ya makada wa ndani. Shame on you
 
Yaani uwoya kichwani hana kitu, hana tofauti sana na Shilole though anaunafuu kidogo, bora hata Wema Sepetu, Wema ni bright sema umalaya, umapepe na kutokuwa na maadili vinamfanya asifae kuingia mjengoni!
 
Uwoya kusema ukweli ni mweupe bungeni kuna Ku changia hoja kusoma miswada sidhani kama alimaliza form four

yaani uwoya ni kilaza kweli kweli, sijui kama dodoma kina Nape watarudisha jina lake
 
Mambo ya siasa yana mambo mengi sanaaa mkuu ndo maana watu wanasomea siasa,,na ndo maana mie huwa sipendi sanaaa kujaji chama flan sijui kmefanya hv hv no sifanyagi hvyo aisee kila vyama huwa vnamakosa yake makubwa tu...

Umeongea point kubwa sana hapo kwa red
Uwoya kichwani ni mweupe balaa, ni jamii za kina shilole fulani hivi. Ni demokrasia mtu kuomba uongozi, lakini wafanya maamuzi wanapopitisha watu dizain ya kina uwoya wanasababisha chama kionekane cha hovyo
 
Mwigizaji Irene Uwoya ameashinda kura za maoni Ubunge Viti Maalum (vijana) huko Tabora kwa kupata kura 38 huku mpinzani wake akipata kura 34. Ubunge wanukia kwa Irene, heko kwake.

duu hii hatar mwaka huu tasinia ya uigizaji itaboreshwa kama wote hao! ni shida
 
Back
Top Bottom