Elections 2015 Updates: Mchakato na Matokeo ya kura za maoni ya Ubunge CCM nchini kote

Elections 2015 Updates: Mchakato na Matokeo ya kura za maoni ya Ubunge CCM nchini kote

hili ni kati ya majimbo masikini zaidi nchi hii , pamoja na kutoa kokoto zote zinazotengeneza barabara nchi hii lakini liko nyuma sana ! huyu mzee ameshindwa kwenda na kasi , apumzishwe jimbo likombolewe na UKAWA , HUYO mwamoto alipewa muda akauchezea .
Nadhani hata nyanya maana ilula si kata ya kilolo
 
Vip na kwa vita kawawa nasikia na yeye uchaguz ulihalibika juzi na leo unarudiwa tupeni matokeo tafadhar mliopo huko.
 
ni kweli , pamoja na nyanya na vitunguu kulimwa kwa wingi hapo lakini hakuna soko la uhakika , soko pekee ni madirisha ya YU - TONG na ZONG TONG , yale mabasi ya mbeya - songea - kyela -tunduma .

Aisee! Umeongea kitu cha msingi sana japo kwa misihala! Anyway, huo ndio ukweli wenyewe japo sio YUTONG na ZONGHTON pekee bali na vijitanda vya malori na tu siti twa IT zinazolala pale Ilula na Ruaha Mbuyuni!
 
Baada ya papa profesa msola kujaribu kufunga goli la mkono uwanja wa nyumbani beki 2 mstaafu mwamoto akaamua kudaka mpira uwanjani refa akaamua mechi ianze upya na papa profesa msola akabwagwa vikali mashabiki wamempongeza papa msola kucheza kisasa zaidi ya taaluma yake kumzidi beki 2 mstaafu anaeng'ang'ania mchezo huku hajui amepitwa na wakati
 
Baada ya papa profesa msola kujaribu kufunga goli la mkono uwanja wa nyumbani beki 2 mstaafu mwamoto akaamua kudaka mpira uwanjani refa akaamua mechi ianze upya na
papa profesa msola akabwagwa vikali mashabiki wamempongeza papa msola kucheza kisasa zaidi ya taaluma yake
kumzidi beki 2 mstaafu anaeng'ang'ania mchezo huku hajui amepitwa na wakati
mbona huelewki
tupe mshindi ni nani
blahblah acha maana walifungana na Uchaguzi umerudiwa
leta uhakika sasa
Makeo ya uchaguzi kura za maoni jimbo la Kilolo ni kama ifuatavyo,
  1. V.mwamoto 11,200
  2. P.Msolla 10,014
  3. D.MBILINYI 2,674
  4. C.Mofuga 1,218
  5. T.Kikoti 1,067
  6. Y.Myenzi 786
  7. M.Luvinga 779
  8. A.Chusi 439
  9. A.Nyamoga 430
  10. T.Kihongosi 350
  11. F.Mkokwa 336
  12. A.Mkakatu 201
  13. L.Mbosa 177
  14. B.Mteleka 172
  15. I.Salufu 106
 
ukonga ni Patel au Jerry Slaa? Mbona ninasikia Jerry alishinda kwa kura nyingi tu?
 
Kati hali ya kushangaza mgombea huyo wa ubungo alieshinda na kulalamikiwa na wenzake kwa rushwa amedai wakati anahojiwa na itv kuwa kila mgombea alikuwa na bajeti ...kwa hiyo yeye alikuwa na kabajeti kake...ccm bila rushwa haiwezekani
 
Yule Mwanasiasa nguli mwenye jina lenye tafsiri zaidi ya moja, Mh. Masaburi, kupitia taarifa ya habari ya ITV amekiri akihojiwa kwamba kila mgombea alikuwa na bajeti yake aliyoitumia katika kuwahonga wajumbe waliokuwa wakiwapigia kura za maoni. Akaenda mbele zaidi na kudai kwamba wale waliokuwa wanatoa elfu tano tano kwa kila mjumbe walijulikana kwa majina ya Mr. Five. Na wale waliokuwa wanatoa elfu nne nne, wajumbe waliwaita kwa majina ya Mr. Four. Akadai kuwa hata yeye nae alikuwa na bajeti yake ya kutumia kwa uchaguzi huo.
 
Masaburi...
Namkumbuka kwa tusi lake maarufu
Lileeee la kufikiri kwa kutumia.....
 
Huyu amesema kwel huwa wote wanagawa fedha......macc ni ukoo wa panya....kila mtu mwiz ....
 
Back
Top Bottom