BAFA
JF-Expert Member
- Jul 19, 2011
- 3,059
- 5,930
Nadhani hata nyanya maana ilula si kata ya kilolohili ni kati ya majimbo masikini zaidi nchi hii , pamoja na kutoa kokoto zote zinazotengeneza barabara nchi hii lakini liko nyuma sana ! huyu mzee ameshindwa kwenda na kasi , apumzishwe jimbo likombolewe na UKAWA , HUYO mwamoto alipewa muda akauchezea .