Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Makamanda leo Dr slaa anafanya mkutano wa baraza la wazi hapa Dodoma.Nitajitahidi kuwajuza kinachoendelea moods naomba mtaniwekea vizuri.
Dr.akiwasili
Masisiem ni zaidi ya mashetani...Watu hawana muda na porojo za Dr. Slaa za siasa za kilaghai. Watu wako busy na shughuli zao za kujitafutia kipato halali...
naona CHADEMA wamejipanga wanazunguka nchi nzima kumwaga sumu ya kuichukia CCM
Hivi hii nayo ni hoja ya kujadili?Mwisho wenu unafika soon mtakimbiana hapaDr. Slaa kweli afya yake MATATANI...
Mfanyie utafiti kwa mama totoo wako hata siku moja upime afya yake kama iko matatani.Dr. Slaa kweli afya yake MATATANI...
Naona red brigade wapo imara.
Naona red brigade wapo imara.
Naona red brigade wapo imara.
Huku ni kupoteza pesa tu BURE na kuiba hela za Posho.
Maoni yameshakusanywa na Tume ya Katiba. Haya mengine ni magumashi tu ya kupiga hela.
Hivi kila chama kikifanya UHUNI huu, pesa ngapi za walipa kodi zitapotea?
Watu hawana muda na porojo za Dr. Slaa za siasa za kilaghai. Watu wako busy na shughuli zao za kujitafutia kipato halali...