Updates:Mkutano wa Dr.Slaa uwanja wa Wajenzi Dodoma leo tar.19/8/2013


Tatizo kubwa la CCM limeacha dhana ile ya chama ni wafanyakazi na wakulima sasa chama kimegeuka cha wafanyabiashara na matajiri, unataka uniambie Nape ni mkulima ama mfanyakazi? Kitendo cha chama kukumbatiwa na matajiri basi yamejimilikisha chama kwa marafiki na familia zao.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…