Updates: Simba SC vs Yanga SC Uwanja wa Taifa

Sasa Simba wajaribu vijana wa kikosi cha pili tu! Hakuna kitu hapa, ngoma tushashinda hii!
 
Ninatabiri kwa uhakika kabisa kwamba kesho Malapa watafukuza kocha na kuwatuhumu wachezaji kadhaa kuuza mechi!
 
watakimbilia wapi masikini

Lakini bakora si dawa. Nadhani wanacotakiwa kufanya ni kukaa na kufanya tathmini ya nini kimewatokea msimu huu kwani ni mmoja kati ya misimu ambayo wamaefanya vibaya sana. Kimsingi nikiona wanaanza kuchapana bakora nitawadharau sana. Si wakati wa kumtafuta mchawi ila pale ambapo wanadhani ndipo walipoangukia wanatakiwa kupanyia kazi
 
...simba kuna watu wana maradhi ya mtima, mtauwa jamani. Khaaa!
 
Kuwa mshabiki wa Mnyama raha sana, hulali na huzuni.
 
Ngapi ngapi mpaka sasa wajameni....
 
Simba tulitegemewa kushinda ila sio
kiasi hiki yaani ni raha mpaka basi..
 
...simba kuna watu wana maradhi ya mtima, mtauwa jamani. Khaaa!


Hospitali ya jeshi ipo karibu kabisa na uwanja kwa ajili ya huduma ya kwanza na hivyo si tatizo kwa wenye maradhi ya mtima
 
Yanga oyeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…