Ghiti Milimo
JF-Expert Member
- Jul 18, 2011
- 4,748
- 7,061
Sina shaka, sisi wapenzi na viongozi wetu, tutakuwa tumewakilishwa na JESHI LA MTU MMOJA, GENTAMYCINEMnazinduaje jezi huku simuoni amedi ali ,sandalendi ze onli wani na mudi?
SimbA mnaumwa au?
Inaelekea simba mnaumwa sonona sana
Mke wangu ni wewe hebu niambie wamefikaje huko chumbani?Umeruhusu vipi uwape mkeo wakae naye chumbani?
Zindueni Hilo dekio nipigie dekiSimbA mnaumwa au?
Nasma naona umetaja mapaziaKelele nyingi mwisho wa siku tunaonyeshwa mapazia