Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Msemaji pumzi ilikata mapema kule Horombo.Mnazinduaje jezi huku simuoni amedi ali ,sandalendi ze onli wani na mudi?
Vipi bonanza leo linatembelea choki muda huuMsemaji pumzi ilikata mapema kule Horombo.
AhahahhZindueni Hilo dekio nipigie deki
Historia gani, koro?Historia inaandikwa Tanzania na simba hutaki kufa
Kwani msemaji ndio anazinduliwa?Msemaji pumzi ilikata mapema kule Horombo.
Mlima 'K' unathamani kuliko hao maraisi wako na ikulu zao.Kwamba walioalikwa kwenye sherehe za Uhuru wa Malawi na kuzindulia jezi hizo Ikulu Malawi Mgeni rasmi akiwa ni Rais wa Malawi na mgeni mualikwa akiwa ni Rais wa JMT.
Kwamba inafanana na uzinduzi unaofanywa na hao masela huko Porini ?
Hadi Sasa Jezi Kali ni za Azam tu. Ngoja tuone hizo za mnyama zinazofana na za ArsenalView attachment 2695072
View attachment 2695073
Leo ni SIKUKUU ya kibegi kufika kwenye kilele cha Mlima wa Kilimanjaro mita 5,895 juu ya usawa wa bahari.
Wapanda mlima Mashabiki wa Mnyama wako kwenye hali salama ya kufika kileleni leo.
Jioni ya leo Simba kuandika Historia Tanzania na Duniani.
Tutaendelea kuwaletea matukio zaidi kuelekea kwenye kilele cha mlima wa Kilimanjaro na uzinduzi rasmi saa 1 kamili jioni ya leo.
Uko tayari kwa uzi mpya [emoji780]
Ndo hii?View attachment 2695072
View attachment 2695073
Leo ni SIKUKUU ya kibegi kufika kwenye kilele cha Mlima wa Kilimanjaro mita 5,895 juu ya usawa wa bahari.
Wapanda mlima Mashabiki wa Mnyama wako kwenye hali salama ya kufika kileleni leo.
Jioni ya leo Simba kuandika Historia Tanzania na Duniani.
Tutaendelea kuwaletea matukio zaidi kuelekea kwenye kilele cha mlima wa Kilimanjaro na uzinduzi rasmi saa 1 kamili jioni ya leo.
Uko tayari kwa uzi mpya [emoji780]
Na hii Au?View attachment 2695072
View attachment 2695073
Leo ni SIKUKUU ya kibegi kufika kwenye kilele cha Mlima wa Kilimanjaro mita 5,895 juu ya usawa wa bahari.
Wapanda mlima Mashabiki wa Mnyama wako kwenye hali salama ya kufika kileleni leo.
Jioni ya leo Simba kuandika Historia Tanzania na Duniani.
Tutaendelea kuwaletea matukio zaidi kuelekea kwenye kilele cha mlima wa Kilimanjaro na uzinduzi rasmi saa 1 kamili jioni ya leo.
Uko tayari kwa uzi mpya [emoji780]
Nasma naona umetaja mapazia
Copy and paste Adidas na Bayern kama ukiwa ndio wenyewe.Na hii Au?View attachment 2695424