Mnachihanguuu
JF-Expert Member
- Feb 10, 2023
- 4,385
- 6,443
Mpaka sasa naona jezi ya azam ni mzuri sana kuliko zote
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uto pro maxDaaaah ila simba mmenikosea mimi kama mimi shabiki.kelele zote hizo ndio takataka gani hii sasa😪😪😪😪
Mimi ni simba wa nguvu. Nilichoongea ni kutoka rohoni. Wewe ukiona mimi ni UTO i dont careUto pro max
I don't believe in coincidence!Jezi ya bluu imefanana na ya Azam by coincidence tu
Kama unakataa kuwa sio coincidence ina maana unamaanisha ni plagiarismI don't believe in coincidence!
Kama jezi imebuniwa na watu, basi watu hao walitaka ionekane kama hivyo ilivyotoka. Sio coincidence bwashee!
Aahaaaaaa,pole mkuuJezi za kawaida sana
Hawa wapuuzi safari hii wameua. Jersey zao kali kinyama. Wameniudhi sana sijapenda jinsi walivyo ipromote hivi... Nitawaroga kwa kweli.Tunaumwa nini?
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]poleHawa wapuuzi safari hii wameua. Jersey zao kali kinyama. Wameniudhi sana sijapenda jinsi walivyo ipromote hivi... Nitawaroga kwa kweli.
Ahmed Ally alishalijuwa hilo ndio maana hakupanda mlima mpaka kileleni kawaachia msala porters yeye kashavuta allowance zake yupo logde anapanda kilele kingine.Jezi za kawaida sana
Obviously!Kama unakataa kuwa sio coincidence ina maana unamaanisha ni plagiarism
Mmezindulia kule jezi zenu au kimbelembele chenu kuona mnyama anaenda kuzindua jezi kule mlimani mtembee na upepo wa kibegi?
Huu ufafanuzi 😀Jersey hazihitaji ubunifu uliopita kiasi zaidi ya mipangilio ya rangi, mikato na material.
Hicho mnachokitaka nyinyi ndio matokeo yake jersey inakuwa kama mashati ya vitenge ama batiki(ile nyeusi ya Yanga), jersey kuwa makorokoro mengi yanayoomba ufafanuzi ni ujinga.
Angalieni hata jersey za nje basi..!
Acha tuwaambie 😄Huu ufafanuzi 😀
😂😂Jezi za simba tayr tupe ufafanuzi wakeAcha tuwaambie 😄
Zile hazina mambo mengi ni Red &White, plus ile ya blue.😂😂Jezi za simba tayr tupe ufafanuzi wake
Nahitaji moja 😀Ile nyekunduZile hazina mambo mengi ni Red &White, plus ile ya blue.