Updates: Uzinduzi wa Kishujaa wa jezi ya Mnyama Simba Sc

I don't believe in coincidence!

Kama jezi imebuniwa na watu, basi watu hao walitaka ionekane kama hivyo ilivyotoka. Sio coincidence bwashee!
Kama unakataa kuwa sio coincidence ina maana unamaanisha ni plagiarism
 
Jezi za kawaida sana
Ahmed Ally alishalijuwa hilo ndio maana hakupanda mlima mpaka kileleni kawaachia msala porters yeye kashavuta allowance zake yupo logde anapanda kilele kingine.
 
Kibegi nikizuri kuliko jezi[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Huu ufafanuzi πŸ˜€
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…