Updates za kifo cha Afande Luteni Kanali Muna aliyeuawa Kawe kwa kuchomwa kisu na dereva bajaji Kato

Mkuu GENTAMYCINE ,habari hii uliyoileta, ni ya MASIKITISHO na ndeeeeeefuu! Lakini ulivyo isimulia vizuri, mpaka msomaji anajiona naye alikuwepo kwenye tukio. Pia, tukio hilo, kwa jinsi ulivyotujuza, tunapata elimu ya kujifunza, KUHESHIMIANA, bila kujali wewe ni nani!!
 
Luteni kanali anakunywa bar za usweken na kutembea na wanawake wa ovyo ovyo.
Luteni kanali anatakiwa kunywea kwenye hoteli ya maana au officers mess kwa wenzake.
Ndio ujue hakuna jeshi hapo, ndio maana mnapelekwa pelekwa na jeshi liko kimya. Luteni kanali ni cheo kikubwa sana , kunywea usweken huku kuna officers mess ni aibu kwa JWTZ.
 
Serikali inapenda mambo kama haya. Inataka raia waogope jeshi ili iwe rahisi kuwatawala na kuwafanya waogope kudai haki zao. Kwanza wanajeshi wengi ni walumbikeni ambao hawajui dunia inakoenda. Starehe wanazozijua wao ni pombe na wanawake.
 
Baadhi ya wanajeshi wetu katika jeshi letu wanaliaibisha jeshi....Yaani kupata mafunzo ya kijeshi tu na kuvaa sare iwe ndo sababu ya kuwa mbabe mtaani!? Wanajeshi wengi ni wababe wanapokuwa uraiani na hasa wakiwa kwenye sare zao wanasahau wao ni sehemu ya jamii na wana jukumu la kutunza Amani...Najiuliza hao wajeda wanapata wapi nguvu ya kupiga wananchi wasio na hatua kisa mwenzao kauawa na wanajua suala hilo lipo kwenye mikono ya polisi? Enyi wanajeshi msijisahau sana, jeshi sio kuvaa sare tu na kutumia nguvu mahali pasipohitajika!
 
sasa tupo zaidi ya Saa kumi jioni mtoa mada vipi kutupatia uvunjifu wa amani kati ya jeshi na raia hapo Kawe
 
Kabisa. Our home boy Kato atatoka tu. Huyo mbuzi muonevu akawaonee sasa na malaika wa motoni. Nachukia sana mtu anayenyanyasa watu kwa cheo chake. Ni ushamba wa kiwango cha juu sana.
 
Kabisa. Our home boy Kato atatoka tu. Huyo mbuzi muonevu akawaonee sasa na malaika wa motoni. Nachukia sana mtu anayenyanyasa watu kwa cheo chake. Ni ushamba wa kiwango cha juu sana.
Ogopa sana kuingia mtaani na ukataka kutumia cheo chako kunyanyasa raia! Huyo jamaa Kato naamini atatoka tu! Wajeshi wakivaaga magwanda akili zinahama na kujiona miungu mtu! Pole yake na pole kwa familia kwa msiba!
 
Mafunzo mengi vita hakuna ss hapo unafikiri nani apigwe!!??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…