mrangi
JF-Expert Member
- Feb 19, 2014
- 88,759
- 123,368
Ugomvi mkubwa wa hawa jamaa zetu ni madem na wakishalewa,nishasema sana humuInasikitsha amefariki eneo alikuwa maarufu sana kwa kunywa inadaiwa..
Nimesoma mahala alikuwa kweli mpenda pombe na mademu walitembelea mifuko take kwa sana akishalewa kumuibia.
Ova