reymage
JF-Expert Member
- Aug 5, 2021
- 12,203
- 28,789
[emoji38][emoji38]poleSema wanajesh huwa wanapenda ubabe Sana ,nimewahi pigishwa push up za kutosha na mabuti juu ....Kisa wamepita wanajesh watatu sijawasalimia ....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji38][emoji38]poleSema wanajesh huwa wanapenda ubabe Sana ,nimewahi pigishwa push up za kutosha na mabuti juu ....Kisa wamepita wanajesh watatu sijawasalimia ....
Kwakweli ni suala la kushangaza maana taarifa zinasema wamemkamata jana usiku sasa raia wengine kipigo cha nnKama Kila raia anaekutana na ubabae wa askari polisi na jeshi angekua anajichukulia hatua mikononi namna hiyo pengine Kila wiki wangekua wanazikwa askari sio chini ya 100,
mtuhumiwa tayali ameshikwa wanapiga watu ili iweje 🤔🤔 wanadhani ndio watu watawaogopa🤔kama Wana nguvu Sana waende kupigana vita Ukraine na Israel huko wanahitaji nguvu kazi🤔 si ushamba huo🤔🤔 haya ni moja ya madhara ya kujaza la saba na waliopata ziro kidato nne kwenye jeshi
[emoji38][emoji38]poleSema wanajesh huwa wanapenda ubabe Sana ,nimewahi pigishwa push up za kutosha na mabuti juu ....Kisa wamepita wanajesh watatu sijawasalimia ....
[emoji38][emoji38]poleSema wanajesh huwa wanapenda ubabe Sana ,nimewahi pigishwa push up za kutosha na mabuti juu ....Kisa wamepita wanajesh watatu sijawasalimia ....
[emoji38][emoji38]poleSema wanajesh huwa wanapenda ubabe Sana ,nimewahi pigishwa push up za kutosha na mabuti juu ....Kisa wamepita wanajesh watatu sijawasalimia ....
Kabisa kabisa ,diplomasia huwa muhimu sana, si kwamba tunaziogopa ,ila hazina msamalie mtume😂😂Kwa sisi tuliyopagana vita vingi na kukutana na visanga vingi
Tushaamua kunyoosha mikono juu
Unajuwa kukaa kimya ni silaha kubwa
Sana,au kusema msamahani
Maana kitu kidogo tu kinaweza kukutoa uhai wako
Ova
Wanajeshi wanapenda kutoa kipondo kwa raia kufikisha ujumbeKwakweli ni suala la kushangaza maana taarifa zinasema wamemkamata jana usiku sasa raia wengine kipigo cha nn
Ukishakuwa mlevi huna maana kabisa.Kumpa cheo mlevi ni kupoteza rasilimali za taifa na kujiandalia kushindwa na majeshi dhaifu.Afande ( Luteni Kanali ) aliyeuawa jana Kawe Jirani na Baa maarufu ya Bombardier anaitwa Muna.
Marehemu ni Mkazi wa Mkoa wa Singida.
Marehemu Afande Luteni Kanali Muna alikuwa kapandishwa Cheo na alikuwa anaenda kuwa Mkuu wa Kikosi Mkoani Arusha na leo Ijumaa ndiyo alikuwa anatakiwa Kuripoti tayari kukabidhiwa Majukumu.
Marehemu Afande Luteni Kanali Muna aliuliwa kwa Kuchomwa na Kisu cha Kukunja na Kijana aitwae Kato huku Mkewe na Mwanae wa Kiume wakiwa ndani ya Gari.
Marehemu Afande Luteni Kanali Muna alikuwa ameenda Kubadili Tairi za Gari lake kwa Mfanyabiashara aitwae Chinga ambaye huwa Wanakunywa wote katika Baa yake ya Maifea Kawe ambayo ndiyo huwa anapenda Kunywa na hata wakati anachomwa Kisu hicho alikuwa amekunya kidogo ila anajitambua.
Afande Luteni Kanali Muna ndiyo alikuwa wa Kwanza kumkabili ( Kuzozana ) na Kijana ( Mchoma Kisu aitwae ) Kato baada ya Kuombwa asogeze Gari lake ili apite ndiyo Marehemu Afande Luteni Kanali Muna kwa Jeuri na Ubabe akamjibu Dogo ( Kato ) vibaya na kwenda Kumzaba Makofi mawili matatu.
Kijana aliyemchoma Kisu kilichopelekea Umauti Afande Luteni Kanali Muna aitwae Kato alikuwa anataka kuwahi Kawe mwisho Maringo ambako aliambiwa kuwa Mwizi wa Bajajj yake kaonekana na kwamba hata hicho Kisu alichokuwa nacho ( alichommaliza nacho Marehemu Afande Luteni Kanali Muna ) kilikuwa ni cha kwenda Kukabiliana na huyo Mwizi wake ila Marehemu Afande Luteni Kanali Muna alijiingiza tu mwenyewe katika 18 zake.
Mwili wa Marehemu Afande Luteni Kanali Muna umeagwa leo ( Mchana ) huu Hospitali ya Jeshi Lugalo na sasa uko safarini Kusafirishwa kwenda Kwao kwa Watani zangu Wanyiramba na Wanyaturu Mkoani Singida kwa Maziko rasmi Kesho.
Mchoma Kisu ( Muuaji Kato ) amekamatwa Jana akiwa njiani Kutoroka na Wanajeshi walitaka wapewe Wao, ila Jeshi la Polisi likawakatalia na Kumshikilia wao wakisema hiyo ni Kesi ya Kiraia na siyo ya Kijeshi kama ambavyo Wanajeshi walikuwa wanataka Kuilazimisha iwe hivyo.
Jana Wakazi wa Kawe ( hasa wa eneo husika ) walipokea Kipigo Kikali sana kutoka kwa Wanajeshi ( hasa MP ) kutokea Kambini Lugalo ambapo GENTAMYCINE nimekutana na baadhi ya akina Mama na Wahudumu wa Baa ya Bombardier Kawe wakiwa Wanachechemea, wanatia Huruma huku wakiwa wanatokea Hospitali za Ndahani, kwa Mambo na Shamba ( ya Serikali ) kupatiwa Matibabu kwani Jana walikuwa hawachaguliwi wa Kupigwa kwa Hasira na hakika Kipondo kilitembezwa na Wanajeshi ( MP )
Ahadi waliyoitoa Wanajeshi ( hasa MP wa Lugalo ) ni kwamba Leo kuanzia Saa 10 Jioni wanarejea tena kwa Oparesheni yao Kabambe na kwamba leo watapita / wataingia nyunba kwa nyumba hata kama Unaukweka ( Unakunya ) utachomolewa Chooni uje upokee Kipigo utaje Wahuni unaowajua na ukimaliza huku ukiwa na Maumivu ya Kipigo chao unarejea Chooni kuendelea na Zoezi lako la Kunya ( Kuukweka )
Sifa zilizozoeleka za Marehemu Afande Luteni Kanali Muna ni ya Ubabe wake wa Kiuanajeshi aliokuwa nao hasa kwa Raia, Kugambeka ( Kulewa ) mno Baa yake Kubwa ya Maifea Kawe ila akiwa anataka Totooz ( Udhaifu mkubwa aliokuwa nao ) alikuwa akipenda kuweka Kambi katika Baa ya Wauza Malaya ( Wachafu na Wasafi ) ya Igole iliyo Mita chache tu na Kituo cha Polisi Kawe ambacho baadhi yao hao Mihemko ya Kibaiolojia ikiwazidia huvuka tu barabara na kwenda Kuponea kwa hao hao Makahaba.
Inasemekana kilichowakera Wanajeshi wa Kawe ( hasa MP ) baada ya Boss wao Marehemu Afande Luteni Kanali Muna Kuuawa hivyo na Kijana Kato ni kwa Polisi kuwanyima / kukataa kuwapa Mtuhumiwa ili waende nae Jeshini Lugalo wakamuadabishe kwa Sheria zao.
Ni haya tu nimeona niwaletee mjue.
[emoji38][emoji38]poleSema wanajesh huwa wanapenda ubabe Sana ,nimewahi pigishwa push up za kutosha na mabuti juu ....Kisa wamepita wanajesh watatu sijawasalimia ....
[emoji38][emoji38]poleSema wanajesh huwa wanapenda ubabe Sana ,nimewahi pigishwa push up za kutosha na mabuti juu ....Kisa wamepita wanajesh watatu sijawasalimia ....
Commando HamzaKato ni Shujaa ni kama alivyo shujaa Abdallah Mwamindi
Sema ukiwa na broo mjeda hauonewi kizembezembe. Kuna broo wa mshkaji wangu alikua mjeda akatuambia mitaa ya sinza na mwenge atakaetuzingua tumpelekee kesi siku moja kuna mabaunsa walituzingua pale meeda club(sasa hivi inaitwa kitambaa cheupe) tukamsanua broo akatimba unaambiwa aliwatembezea kichapo heavy, kuna siku nyingine jamaa alinipola simu mitaa ya sinza afrika sana pale vibaka wenzake wakamwambia oya unamjua broo ake uyo? Mrudishie tu dogo simu yake, jamaa akanirudishia simu yangu kweli.. Miaka iyo sinza na mwenge yote nazulula muda wowote hakuna muhuni anaenigusa.Wanajeshi wanapenda kutoa kipondo kwa raia kufikisha ujumbe
Ukikaa karibu na kambi za jeshi shida sana
Kawe washachezea sana,ukienda kunduchi kule napo kunatokeaga kichapo sana
Ova
Jamaa walikuwa wanagombania nn haoNilikuwepo eneo la tukio ,toka siku hiyo nimechukia silaha ,nikiona mtu ana silaha hasa bunduki huwa namshauri awe ana iacha home, ule usiku ulikua mbaya sana, mshikaji alikufa kavaa tshirt imeandikwa WHOW IS REAL ,WHOW IS FAKE nyekundu, halafu akauwaa na best yake 😭
Kato nadhani alikua hajaja Daslaam... angemnyoosha.Sema ukiwa na broo mjeda hauonewi kizembezembe. Kuna broo wa mshkaji wangu alikua mjeda akatuambia mitaa ya sinza na mwenge atakaetuzingua tumpelekee kesi siku moja kuna mabaunsa walituzingua pale meeda club(sasa hivi inaitwa kitambaa cheupe) tukamsanua broo akatimba unaambiwa aliwatembezea kichapo heavy, kuna siku nyingine jamaa alinipola simu mitaa ya sinza afrika sana pale vibaka wenzake wakamwambia oya unamjua broo ake uyo? Mrudishie tu dogo simu yake, jamaa akanirudishia simu yangu kweli.. Miaka iyo sinza na mwenge yote nazulula muda wowote hakuna muhuni anaenigusa.