mercphason
Member
- Dec 27, 2013
- 60
- 41
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Screening problem, I guess!! Wajitafakari wahusika.Na kama huyo marehem mp alikua na Sare zake aiseh hapo ndio maswali yatazidi kwa wale wa kwenda deep!!
Acha kukuza mambo wewe kwani MP wewe unawachukulia ni watu special sana kiasi kwamba hawezi kuuawa na raia? Hao ni watu kama watu wengine tu hawana chechote kile zaidi ya kukuzwa tuJifunze kutazama mambo kiakili we jamaa!
Unaambiwa muhusika ambae ni marehem aliekua ndio kesha teuliwa kuwa mkuu wa kikosi Arusha halafu umauti ukamkuta,eti kisa wamekosana kwenye parking ya magari,halafu jiulize huyo aliemchoma kisu.yeye anaujasiri gani wa kumchoma mjeda,halafu huyo mjeda aliekua Hana mafunzo ya kutosha hadi mchomaji Raia wa kawaida amchome kisu!?huyo Raia Kato ana mafunzo ya kiasi gani hadi awe na uwezo wa kumchoma MP!!?
Nyie watu tuwe tunafiiria mambo kwa mtazamo tofauti!!!
Na kama huyo marehem mp alikua na Sare zake aiseh hapo ndio maswali yatazidi kwa wale wa kwenda deep!!
Nitengee NYABENGA lako tukuka ili ujue kama nime grow utakavyo au bado kama udhaniavyo Mpumbavu Mwandamizi Wewe.Uandishi wa mizaha, vichekesho na pumba umekutoka ghafla!
Ulidhani wote hapa tutacheka cheka tu na wote hatuna akili za kuona huu ni upuuzi tu?
Grow up. Jitu zima akili za kitotooooo!
GENTAMYCINE na akili zako unaishi Kawe?Afande ( Luteni Kanali ) aliyeuawa jana Kawe Jirani na Baa maarufu ya Bombardier anaitwa Muna.
Marehemu ni Mkazi wa Mkoa wa Singida.
Marehemu Afande Luteni Kanali Muna alikuwa kapandishwa Cheo na alikuwa anaenda kuwa Mkuu wa Kikosi Mkoani Arusha na leo Ijumaa ndiyo alikuwa anatakiwa Kuripoti tayari kukabidhiwa Majukumu.
Marehemu Afande Luteni Kanali Muna aliuliwa kwa Kuchomwa na Kisu cha Kukunja na Kijana aitwae Kato huku Mkewe na Mwanae wa Kiume wakiwa ndani ya Gari.
Marehemu Afande Luteni Kanali Muna alikuwa ameenda Kubadili Tairi za Gari lake kwa Mfanyabiashara aitwae Chinga ambaye huwa Wanakunywa wote katika Baa yake ya Maifea Kawe ambayo ndiyo huwa anapenda Kunywa na hata wakati anachomwa Kisu hicho alikuwa amekunya kidogo ila anajitambua.
Afande Luteni Kanali Muna ndiyo alikuwa wa Kwanza kumkabili ( Kuzozana ) na Kijana ( Mchoma Kisu aitwae ) Kato baada ya Kuombwa asogeze Gari lake ili apite ndiyo Marehemu Afande Luteni Kanali Muna kwa Jeuri na Ubabe akamjibu Dogo ( Kato ) vibaya na kwenda Kumzaba Makofi mawili matatu.
Kijana aliyemchoma Kisu kilichopelekea Umauti Afande Luteni Kanali Muna aitwae Kato alikuwa anataka kuwahi Kawe mwisho Maringo ambako aliambiwa kuwa Mwizi wa Bajajj yake kaonekana na kwamba hata hicho Kisu alichokuwa nacho ( alichommaliza nacho Marehemu Afande Luteni Kanali Muna ) kilikuwa ni cha kwenda Kukabiliana na huyo Mwizi wake ila Marehemu Afande Luteni Kanali Muna alijiingiza tu mwenyewe katika 18 zake.
Mwili wa Marehemu Afande Luteni Kanali Muna umeagwa leo ( Mchana ) huu Hospitali ya Jeshi Lugalo na sasa uko safarini Kusafirishwa kwenda Kwao kwa Watani zangu Wanyiramba na Wanyaturu Mkoani Singida kwa Maziko rasmi Kesho.
Mchoma Kisu ( Muuaji Kato ) amekamatwa Jana akiwa njiani Kutoroka na Wanajeshi walitaka wapewe Wao, ila Jeshi la Polisi likawakatalia na Kumshikilia wao wakisema hiyo ni Kesi ya Kiraia na siyo ya Kijeshi kama ambavyo Wanajeshi walikuwa wanataka Kuilazimisha iwe hivyo.
Jana Wakazi wa Kawe ( hasa wa eneo husika ) walipokea Kipigo Kikali sana kutoka kwa Wanajeshi ( hasa MP ) kutokea Kambini Lugalo ambapo GENTAMYCINE nimekutana na baadhi ya akina Mama na Wahudumu wa Baa ya Bombardier Kawe wakiwa Wanachechemea, wanatia Huruma huku wakiwa wanatokea Hospitali za Ndahani, kwa Mambo na Shamba ( ya Serikali ) kupatiwa Matibabu kwani Jana walikuwa hawachaguliwi wa Kupigwa kwa Hasira na hakika Kipondo kilitembezwa na Wanajeshi ( MP )
Ahadi waliyoitoa Wanajeshi ( hasa MP wa Lugalo ) ni kwamba Leo kuanzia Saa 10 Jioni wanarejea tena kwa Oparesheni yao Kabambe na kwamba leo watapita / wataingia nyunba kwa nyumba hata kama Unaukweka ( Unakunya ) utachomolewa Chooni uje upokee Kipigo utaje Wahuni unaowajua na ukimaliza huku ukiwa na Maumivu ya Kipigo chao unarejea Chooni kuendelea na Zoezi lako la Kunya ( Kuukweka )
Sifa zilizozoeleka za Marehemu Afande Luteni Kanali Muna ni ya Ubabe wake wa Kiuanajeshi aliokuwa nao hasa kwa Raia, Kugambeka ( Kulewa ) mno Baa yake Kubwa ya Maifea Kawe ila akiwa anataka Totooz ( Udhaifu mkubwa aliokuwa nao ) alikuwa akipenda kuweka Kambi katika Baa ya Wauza Malaya ( Wachafu na Wasafi ) ya Igole iliyo Mita chache tu na Kituo cha Polisi Kawe ambacho baadhi yao hao Mihemko ya Kibaiolojia ikiwazidia huvuka tu barabara na kwenda Kuponea kwa hao hao Makahaba.
Inasemekana kilichowakera Wanajeshi wa Kawe ( hasa MP ) baada ya Boss wao Marehemu Afande Luteni Kanali Muna Kuuawa hivyo na Kijana Kato ni kwa Polisi kuwanyima / kukataa kuwapa Mtuhumiwa ili waende nae Jeshini Lugalo wakamuadabishe kwa Sheria zao.
Ni haya tu nimeona niwaletee mjue.
Ni Wapumbavu sana. Ni marafiki zangu Wakubwa tu nikiri hivyo hata Mwenzao King Kong III anajua ila kwa hili hata Mimi nimekasirika na wamenikera mno tu.Kisu kachomwa mtu mmoja na mtu mmoja. Wanataka Kawe nzima ipate shida!
Naishi Kawe, Mbezi Tangi Bovu jirani na Kona Baa, Masaki mita chache na Coco Beach, nimeshawahi pia Kuishi Ilala Shariff Shamba katika Flats za Breweries, Makongo Jeshini kule Juu alikokuwa akiishi Babu yangu wa Ukabila CDF Mstaafu Poti ( Mwetu wangu ) Gen. David Bugozi Musuguri nikiwa na Marehemu Dada yangu, Temeke mita chache na Hospitali ya Temeke na kuanzia Desemba nitakuwa naishi tena Mapinga baada ya Chuo cha Makomandoo cha JWTZ na kama Mambo yakienda vyema kwa Baraka ( Kudra ) zake Mwenyezi Mungu kuanzia mwaka 2024 nitakuwa naishi rasmi nchini Uganda.GENTAMYCINE na akili zako unaishi Kawe?
Tank bovu pale unasali Sloam Ministry kwa yule mtume tapeli?Naishi Kawe, Mbezi Tangi Bovu jirani na Kona Baa, Masaki mita chache na Coco Beach, nimeshawahi pia Kuishi Ilala Shariff Shamba katika Flats za Breweries, Makongo Jeshini kule Juu alikokuwa akiishi Babu yangu wa Ukabila CDF Mstaafu Poti ( Mwetu wangu ) Gen. David Bugozi Musuguri nikiwa na Marehemu Dada yangu, Temeke mita chache na Hospitali ya Temeke na kuanzia Desemba nitakuwa naishi tena Mapinga baada ya Chuo cha Makomandoo cha JWTZ na kama Mambo yakienda vyema kwa Baraka ( Kudra ) zake Mwenyezi Mungu kuanzia mwaka 2024 nitakuwa naishi rasmi nchini Uganda.
Kwa ufafanuzi huu naamini hutokuwa tena na Maswali mengine tena Kwangu.
Siku Njema Mkuu.
Peter musuguri nimemis sana ni class mate wangu mkuu. Mpe hai sana ukimpata hewaniNaishi Kawe, Mbezi Tangi Bovu jirani na Kona Baa, Masaki mita chache na Coco Beach, nimeshawahi pia Kuishi Ilala Shariff Shamba katika Flats za Breweries, Makongo Jeshini kule Juu alikokuwa akiishi Babu yangu wa Ukabila CDF Mstaafu Poti ( Mwetu wangu ) Gen. David Bugozi Musuguri nikiwa na Marehemu Dada yangu, Temeke mita chache na Hospitali ya Temeke na kuanzia Desemba nitakuwa naishi tena Mapinga baada ya Chuo cha Makomandoo cha JWTZ na kama Mambo yakienda vyema kwa Baraka ( Kudra ) zake Mwenyezi Mungu kuanzia mwaka 2024 nitakuwa naishi rasmi nchini Uganda.
Kwa ufafanuzi huu naamini hutokuwa tena na Maswali mengine tena Kwangu.
Siku Njema Mkuu.
........Ina gudhusha sana ama Kwa hakika ni pigo kubwa sana kama Taifa tunaomboleza kumpoteza mzalendo aliejitolea Kwa hali na mali kuilinda na kuitetea nchi yake. Lakini kama tujuavyo mganga hajigangi.
Umekufa kishujaa afande kanal mwenyezi Mungu akulaze mahala pema peponi....!
Haina kucheleweshaSi wamesema naye alikuwa kavurugwa anawahi kumtia visu mwizi wa pikipiki yake ambaye alikuwa ameonekana na pikipiki yake ambayo ilikuwa iliibiwa siku za nyuma ?
Ndio huyo mshamba naye akamletea giza giza humo njiani ,ndio akamfix kwa kisu faster
Kwa Mbezi Beach Tangi Bovu hata Jirani yangu na mpenda Mbunye Mwenzangu Bujibuji Simba Nyamaume anapajua na hata kuwajua baadhi ya Ndugu zangu kuanzia Kanali Mstaafu Mzee Mugwe na Familia yote ya Marehemu Neurologist wa Jeshini ( Lugalo General Millitary Hospital ) Brigedia Profesa Yardon Kohi.Tank bovu pale unasali Sloam Ministry kwa yule mtume tapeli?
Na Wewe ni Chapombe ( Tika Tika ) kama Yeye?Peter musuguri nimemis sana ni class mate wangu mkuu. Mpe hai sana ukimpata hewani
Acheni mkwala msitake vita na raiaWahuni wote wa Dar es salaam mjiandae kisawasawa.
Ewe mzazi kama unajua mwanao ni muhuni,
Mkanye na mwambie aache mara moja.
Kitakachomkuta hatokuja kusahau maisha yake yote.
Vita waijulie wapiBadala ya kwenda kuwasaidia vita ya Ukrain au Wapalestina wao wanaanzisha vita na raia wema wasio na silaha. Siku za mbabe ni 39.5 na za mwizi ni 40
Please!Temeke mita chache na Hospitali ya Temeke na kuanzia Desemba nitakuwa naishi tena Mapinga baada ya Chuo cha Makomandoo cha JWTZ
Ila Genta ukiwa serious kidogo tu utafika mbali.Afande ( Luteni Kanali ) aliyeuawa jana Kawe Jirani na Baa maarufu ya Bombardier anaitwa Muna.
Marehemu ni Mkazi wa Mkoa wa Singida.
Marehemu Afande Luteni Kanali Muna alikuwa kapandishwa Cheo na alikuwa anaenda kuwa Mkuu wa Kikosi Mkoani Arusha na leo Ijumaa ndiyo alikuwa anatakiwa Kuripoti tayari kukabidhiwa Majukumu.
Marehemu Afande Luteni Kanali Muna aliuliwa kwa Kuchomwa na Kisu cha Kukunja na Kijana aitwae Kato huku Mkewe na Mwanae wa Kiume wakiwa ndani ya Gari.
Marehemu Afande Luteni Kanali Muna alikuwa ameenda Kubadili Tairi za Gari lake kwa Mfanyabiashara aitwae Chinga ambaye huwa Wanakunywa wote katika Baa yake ya Maifea Kawe ambayo ndiyo huwa anapenda Kunywa na hata wakati anachomwa Kisu hicho alikuwa amekunya kidogo ila anajitambua.
Afande Luteni Kanali Muna ndiyo alikuwa wa Kwanza kumkabili ( Kuzozana ) na Kijana ( Mchoma Kisu aitwae ) Kato baada ya Kuombwa asogeze Gari lake ili apite ndiyo Marehemu Afande Luteni Kanali Muna kwa Jeuri na Ubabe akamjibu Dogo ( Kato ) vibaya na kwenda Kumzaba Makofi mawili matatu.
Kijana aliyemchoma Kisu kilichopelekea Umauti Afande Luteni Kanali Muna aitwae Kato alikuwa anataka kuwahi Kawe mwisho Maringo ambako aliambiwa kuwa Mwizi wa Bajajj yake kaonekana na kwamba hata hicho Kisu alichokuwa nacho ( alichommaliza nacho Marehemu Afande Luteni Kanali Muna ) kilikuwa ni cha kwenda Kukabiliana na huyo Mwizi wake ila Marehemu Afande Luteni Kanali Muna alijiingiza tu mwenyewe katika 18 zake.
Mwili wa Marehemu Afande Luteni Kanali Muna umeagwa leo ( Mchana ) huu Hospitali ya Jeshi Lugalo na sasa uko safarini Kusafirishwa kwenda Kwao kwa Watani zangu Wanyiramba na Wanyaturu Mkoani Singida kwa Maziko rasmi Kesho.
Mchoma Kisu ( Muuaji Kato ) amekamatwa Jana akiwa njiani Kutoroka na Wanajeshi walitaka wapewe Wao, ila Jeshi la Polisi likawakatalia na Kumshikilia wao wakisema hiyo ni Kesi ya Kiraia na siyo ya Kijeshi kama ambavyo Wanajeshi walikuwa wanataka Kuilazimisha iwe hivyo.
Jana Wakazi wa Kawe ( hasa wa eneo husika ) walipokea Kipigo Kikali sana kutoka kwa Wanajeshi ( hasa MP ) kutokea Kambini Lugalo ambapo GENTAMYCINE nimekutana na baadhi ya akina Mama na Wahudumu wa Baa ya Bombardier Kawe wakiwa Wanachechemea, wanatia Huruma huku wakiwa wanatokea Hospitali za Ndahani, kwa Mambo na Shamba ( ya Serikali ) kupatiwa Matibabu kwani Jana walikuwa hawachaguliwi wa Kupigwa kwa Hasira na hakika Kipondo kilitembezwa na Wanajeshi ( MP )
Ahadi waliyoitoa Wanajeshi ( hasa MP wa Lugalo ) ni kwamba Leo kuanzia Saa 10 Jioni wanarejea tena kwa Oparesheni yao Kabambe na kwamba leo watapita / wataingia nyunba kwa nyumba hata kama Unaukweka ( Unakunya ) utachomolewa Chooni uje upokee Kipigo utaje Wahuni unaowajua na ukimaliza huku ukiwa na Maumivu ya Kipigo chao unarejea Chooni kuendelea na Zoezi lako la Kunya ( Kuukweka )
Sifa zilizozoeleka za Marehemu Afande Luteni Kanali Muna ni ya Ubabe wake wa Kiuanajeshi aliokuwa nao hasa kwa Raia, Kugambeka ( Kulewa ) mno Baa yake Kubwa ya Maifea Kawe ila akiwa anataka Totooz ( Udhaifu mkubwa aliokuwa nao ) alikuwa akipenda kuweka Kambi katika Baa ya Wauza Malaya ( Wachafu na Wasafi ) ya Igole iliyo Mita chache tu na Kituo cha Polisi Kawe ambacho baadhi yao hao Mihemko ya Kibaiolojia ikiwazidia huvuka tu barabara na kwenda Kuponea kwa hao hao Makahaba.
Inasemekana kilichowakera Wanajeshi wa Kawe ( hasa MP ) baada ya Boss wao Marehemu Afande Luteni Kanali Muna Kuuawa hivyo na Kijana Kato ni kwa Polisi kuwanyima / kukataa kuwapa Mtuhumiwa ili waende nae Jeshini Lugalo wakamuadabishe kwa Sheria zao.
Ni haya tu nimeona niwaletee mjue.