Updates za Kimbunga Hidaya: Ulipo hali ikoje?

Kwamba simba mpaka sasa tatizo lao ni kocha? Maana katika hii misimu mitatu kama sijakosea tayari makocha watakuwa sita au saba na huyo atakuwa wa nane
 

Attachments

  • IMG_9362.jpeg
    603.8 KB · Views: 2
Dar Imesalimika-Morogoro Hidaya ataishia kwenye safu ya Milima ya Ulugulu karibu na Mgeta- hili eneo lipo mbele ya ile milima inayoonekana kama upo Maeneo ya Mzumbe! Ni 100% safu ya milima ya Uluguru. Kuna vijiji kadhaa lakini ni milima mitupu so athari azitokuwa Kubwa. Tanzania tuna kila sababu ya Kumshukuru Mungu.Asbh ilikuwa inaonekana kuwa Hidaya angeishia Lushoto Milimani! Hivyo kwa Tanzania Hidaya ilionekana mapema ataishia milimani🙏
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…