Ahyan
JF-Expert Member
- Jun 7, 2019
- 2,310
- 5,482
Pwani ya Tanzania... Dar ni mojawapoMbona TMA hawajasema kama Dar nayo itaathirika!wanasema pwani TU!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pwani ya Tanzania... Dar ni mojawapoMbona TMA hawajasema kama Dar nayo itaathirika!wanasema pwani TU!!
Dar Watu juzi mmetoka kwenye mafuriko,saiv mnapambana na kimbunga tenaWakuu, ingekuwa vyema tukapata updates za kimbunga Hidaya kama kilivyotabiriwa hapa kwenye huu uzi.
Kwa wale walio mikoa ya pwani hali ikoje uliko? Ni tahadhari gani umechukua?
Kufuatilia hali ya kimbunga hiki mubashara bofya hapa: Live Weather Satellite Map | Zoom Earth
====
Pia soma: TMA: Uwepo wa kimbunga “Hidaya” katika bahari ya Hindi Mashariki mwa Pwani ya Mtwara
Hidaya mwenyewe sasa!!!!!! mdogoooooo!!!!!!Hidaya asiwatese
Nipo Kilombero pia, kuna mvua na upepo kiasi chake.Nipo Kilombero, aisee mvua inapiga mudahuu
YeahNipo Kilombero pia, kuna mvua na upepo kiasi chake.
Majina ya wake wa maafisa wa ngazi ya juu ya TMA, hufanya hivyo ili kupata ile 50 kwa 50Hivi mlisema haya majina yanapatikanaje?!
angalia wind gustsMimi nimeshinda mahali hapa dar nikiwa ghorofa ya sita, upepo unaopiga ukiwa juu utadhani cioo vinataka kuvunjika
Ila ukiingia kwenye map unaona bado eneo kubwa ni baharini ndio linaonyesha kuwa na mgandamizo mkubwa
View attachment 2980020
Wapi!!??Huu upepo mmh..
Usihofu mkuu. Kwasababu Dar haijatajwa Basi wewe binafsi usichukue tahadhari.Mbona TMA hawajasema kama Dar nayo itaathirika!wanasema pwani TU!!
Little or no impact in Dar....Huu upepo unaanza kunitisha ...
Kigamboni kuna rasha rasha za upepo, kanakuja kaupepo na kukata, ukizidi zaidi ya hapa itakuwa CHANGAMOTO kubwa.