Updates za Kimbunga Hidaya: Ulipo hali ikoje?

Kwa hapa dar upepo ni mkali sana ulioambatana na baridi kali, ni mwendo wa kukoga mivumbi kipande hichi Cha Goba😅.

Tafadhali ni muhimu sana wakuu, tuepuke kukaa karibu na majengo mabovu ama vitu vya kuegeshwa. Unaweza kujikuta umebondwa na kitu kizito utosin!
 
Dar Watu juzi mmetoka kwenye mafuriko,saiv mnapambana na kimbunga tena
taaabu juu ya taabu
Hakuna kupumzika
🙆😝
 
Huu upepo unaanza kunitisha ...

Kigamboni kuna rasha rasha za upepo, kanakuja kaupepo na kukata, ukizidi zaidi ya hapa itakuwa CHANGAMOTO kubwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…