Youngblood
JF-Expert Member
- Aug 1, 2014
- 19,433
- 56,810
I thought unamaanisha upepoUpo Kisarawe?
Au unadhani sijui nilichokiandika?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
I thought unamaanisha upepoUpo Kisarawe?
Au unadhani sijui nilichokiandika?
Picha?Wilaya ya Kisarawe upepo ni mkali.
Miti inaanguka hovyo. Baridi kali!
BaadayePicha?
Kubashiri hali ya Hewa××
Acha kuogopa basi mademoiselle...Ohoooo jaman mpo???naona kimezidi
Walikamatwa na mgambo au jeshi letu lenye weledi na linalotumia reasonable force?
Ombehiyoko...Acha kuogopa basi mademoiselle...
Ndio umepita huo tayari, Hodi Unguja kisha Dar.Huku mafia nyumba zimeuzuliwa paa nyingi tu, upepo ni mkali sana japo kwa sasa umepoa kidogo
Dangerous and beyond.That'll be dangerous...
Naona bado maana vyombo vya usafiri vimepaki mpka j3 na wavuvi hawaingii baharini mpaka j3Ndio umepita huo tayari, Hodi Unguja kisha Dar.
Wenye KUTAMBIKA WATAMBIKE.
Watu wanaedit refer hii post mnano february
wasafi ni watu wa kusafiria matukio, sijui labda😳
Watu wanaeditwasafi ni watu wa kusafiria matukio, sijui labda😳
Hii tachnolojia ya kuedit inatumiwa vibayaWatu wanaedit
Naam ndo maana hizi media mtu uwe nawewe unazifatilia huko mitandaoni zilipoHii tachnolojia ya kuedit inatumiwa vibaya
🤣🤣🤣🤣🤣🤣Ombehiyoko...