Upendeleo na Rushwa vyatawala zoezi la sensa Korogwe mji- Tanga

Upendeleo na Rushwa vyatawala zoezi la sensa Korogwe mji- Tanga

Mlalamikaji daily

JF-Expert Member
Joined
May 19, 2014
Posts
744
Reaction score
1,621
Mwongozo uliotolewa ni wale wote wenye sifa na waliotimiza vigezo kupelekwa kwenye halmashauri na kata zao ili wafanyiwe usaili!

Lakini kwa halmashauri ya Korogwe mjini Hali ni tofauti kwani tayari nafasi za Wasimamizi wa sensa viongozi wameshaweka watu wao!

Na mbaya zaidi Kuna waliotimiza vigezo ambao hawajaitwa kwenye usaili! Tafadhali sana watu wa takukuru na NBS pigeni kambi ndogo Korogwe mjini.

Hata huu usaili ni kiini macho tu.

Aibu sana
 
Mwongozo uliotolewa ni wale wote wenye sifa na waliotimiza vigezo kupelekwa kwenye halmashauri na kata zao ili wafanyiwe usaili!

Lakini kwa halmashauri ya Korogwe mjini Hali ni tofauti kwani tayari nafasi za Wasimamizi wa sensa viongozi wameshaweka watu wao!

Na mbaya zaidi Kuna waliotimiza vigezo ambao hawajaitwa kwenye usaili! Tafadhali sana watu wa takukuru na NBS pigeni kambi ndogo Korogwe mjini.

Hata huu usaili ni kiini macho tu.

Aibu sana
NBS wamekosea sanaa kuwa kabidhi halmashauri ili zoezi ...halmashaurinozo huko ndio **** rafu zinachezwaa
 
Mwongozo uliotolewa ni wale wote wenye sifa na waliotimiza vigezo kupelekwa kwenye halmashauri na kata zao ili wafanyiwe usaili!

Lakini kwa halmashauri ya Korogwe mjini Hali ni tofauti kwani tayari nafasi za Wasimamizi wa sensa viongozi wameshaweka watu wao!

Na mbaya zaidi Kuna waliotimiza vigezo ambao hawajaitwa kwenye usaili! Tafadhali sana watu wa takukuru na NBS pigeni kambi ndogo Korogwe mjini.

Hata huu usaili ni kiini macho tu.

Aibu sana
Tuwe tu wakweli, infekua ni wewe usingeeka ndugu yako?
 
Hii nchi ina mambo ya hovyo kiwngo cha pimbi kabisa wewe uliona wapi watu waameom a online majina yanatoka kwenye mbao za kata?
 
Mwongozo uliotolewa ni wale wote wenye sifa na waliotimiza vigezo kupelekwa kwenye halmashauri na kata zao ili wafanyiwe usaili!

Lakini kwa halmashauri ya Korogwe mjini Hali ni tofauti kwani tayari nafasi za Wasimamizi wa sensa viongozi wameshaweka watu wao!

Na mbaya zaidi Kuna waliotimiza vigezo ambao hawajaitwa kwenye usaili! Tafadhali sana watu wa takukuru na NBS pigeni kambi ndogo Korogwe mjini.

Hata huu usaili ni kiini macho tu.

Aibu sana
Nawewe toa rushwa
 
Back
Top Bottom