Upendeleo wa Rais kwa Yanga unakwenda kuisambaratisha Yanga vipande (inafungwa na USM)

Mbeleko kwa yanga inaendelea! Sasa inadhaminiwa na Ikulu kwa kodi za umma
 
Mimi ni shabiki wa simba lkn umeendika upuuziii
Nakwambia tena mbongo akishakuwa na ka degree kamoja, akajia vijineno vichache, akawa na ka ist, na smart phone, na ka kiduku kochwani anaongea kila kitu akijidai anajua zaidi ya yote
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…