Upendeleo wa wazi kwa Yanga si mzuri kwa tasnia ya mchezo wa soka nchini

Upendeleo wa wazi kwa Yanga si mzuri kwa tasnia ya mchezo wa soka nchini

Mwanamutapa

JF-Expert Member
Joined
Dec 5, 2011
Posts
513
Reaction score
489
Nachukua nafasi hii kuwapongeza Yanga kufika fainali ya CAFCC kwa mwaka 2023 lakini pia nachukua nafasi hii kutokubaliana na upendeleo wa dhahiri uliofanywa na Mama kwa klabu ya Yanga

Ni jambo la kushangaza Mama ana miaka 3 madarakani na katika muda huo kaikuta Simba ikishiriki mashindano haya ya kimataifa lakini hakufanya lolote kuwapa Simba motisha mpaka kasubiria Yanga wacheze hatua hizo ndipo akaanza kutoa motisha.

Kwa maana hiyo motisha za klabu ya Simba zilikuwa sababu ya Yanga kushiriki mathalani Simba aliposhiriki bila Yanga Jumba Jeupe lilikuwa kimya kusema chochote na Simba kujiendea peke yao kama Klabu lakini mara Yanga aliposhiriki ukawa ni wimbo eti anawakilisha taifa tena kombe la hadhi ya chini kuliko Simba. Swali la kujiuliza wakati Simba anashiriki haya makombe bila Yanga kuwepo aliwakilisha nini?

Simba ikiwa chini ya kiongozi mwanamke wakati ule tulitegemea Mama aone juhudi za mwanamke mwenzake katika medani za kimataifa lakini jambo la kushangaza Mama alikaa kimya sababu tu ilikuwa ni Simba. Wamekuja Yanga mara ikawa ni hadhi ya Taifa huyo Simba wakati anashiriki ilikuwa ni hadhi ya nini?

Ni muda wa wana Simba kupaza sauti kupinga mambo ya namna hii kuona upendeleo wa waziwazi iwapo viongozi wana wapenzi yao hatuyakatai lakini katika leadership unaangalia usawa na fact na hisia kuweka pembeni

Sisi kama Simba hatujafurahishwa na mistreatement ya Simba na upendeleo kwa Yanga toka Jumba Jeupe. Hapa viongozi wanatufundisha nini sasa? Mambo ya kukatishana tamaa na kupeana upendeleo usio stahili, treatment lazima ziwe sawa kuleta afya katika jamii na siyo kuleta upenzi na hisia hiyo siyo leadership

Wasalaam
 
Nachukua nafasi hii kuwapongeza Yanga kufika fainali ya CAFCC kwa mwaka 2023 lakini pia nachukua nafasi hii kutokubaliana na upendeleo wa dhahiri uliofanywa na Mama kwa klabu ya Yanga

Ni jambo la kushangaza Mama ana miaka 3 madarakani na katika muda huo kaikuta Simba ikishiriki mashindano haya ya kimataifa lakini hakufanya lolote kuwapa Simba motisha mpaka kasubiria Yanga wacheze hatua hizo ndipo akaanza kutoa motisha.

Kwa maana hiyo motisha za klabu ya Simba zilikuwa sababu ya Yanga kushiriki mathalani Simba aliposhiriki bila Yanga Jumba Jeupe lilikuwa kimya kusema chochote na Simba kujiendea peke yao kama Klabu lakini mara Yanga aliposhiriki ukawa ni wimbo eti anawakilisha taifa tena kombe la hadhi ya chini kuliko Simba. Swali la kujiuliza wakati Simba anashiriki haya makombe bila Yanga kuwepo aliwakilisha nini?

Simba ikiwa chini ya kiongozi mwanamke wakati ule tulitegemea Mama aone juhudi za mwanamke mwenzake katika medani za kimataifa lakini jambo la kushangaza Mama alikaa kimya sababu tu ilikuwa ni Simba. Wamekuja Yanga mara ikawa ni hadhi ya Taifa huyo Simba wakati anashiriki ilikuwa ni hadhi ya nini?

Ni muda wa wana Simba kupaza sauti kupinga mambo ya namna hii kuona upendeleo wa waziwazi iwapo viongozi wana wapenzi yao hatuyakatai lakini katika leadership unaangalia usawa na fact na hisia kuweka pembeni

Sisi kama Simba hatujafurahishwa na mistreatement ya Simba na upendeleo kwa Yanga toka Jumba Jeupe. Hapa viongozi wanatufundisha nini sasa? Mambo ya kukatishana tamaa na kupeana upendeleo usio stahili, treatment lazima ziwe sawa kuleta afya katika jamii na siyo kuleta upenzi na hisia hiyo siyo leadership

Wasalaam
Rage ajengewe sanamu Msimbazi, mambumbumbu yameamuwa kuprove kauli ya Rage.

Waulize wanaojuwa mpira Simba imepewa ndege Mara ngapi?

Je ni mama ndio amezuia Simba isifike fainali?

Fuseeeki.
 
Nachukua nafasi hii kuwapongeza Yanga kufika fainali ya CAFCC kwa mwaka 2023 lakini pia nachukua nafasi hii kutokubaliana na upendeleo wa dhahiri uliofanywa na Mama kwa klabu ya Yanga

Ni jambo la kushangaza Mama ana miaka 3 madarakani na katika muda huo kaikuta Simba ikishiriki mashindano haya ya kimataifa lakini hakufanya lolote kuwapa Simba motisha mpaka kasubiria Yanga wacheze hatua hizo ndipo akaanza kutoa motisha.

Kwa maana hiyo motisha za klabu ya Simba zilikuwa sababu ya Yanga kushiriki mathalani Simba aliposhiriki bila Yanga Jumba Jeupe lilikuwa kimya kusema chochote na Simba kujiendea peke yao kama Klabu lakini mara Yanga aliposhiriki ukawa ni wimbo eti anawakilisha taifa tena kombe la hadhi ya chini kuliko Simba. Swali la kujiuliza wakati Simba anashiriki haya makombe bila Yanga kuwepo aliwakilisha nini?

Simba ikiwa chini ya kiongozi mwanamke wakati ule tulitegemea Mama aone juhudi za mwanamke mwenzake katika medani za kimataifa lakini jambo la kushangaza Mama alikaa kimya sababu tu ilikuwa ni Simba. Wamekuja Yanga mara ikawa ni hadhi ya Taifa huyo Simba wakati anashiriki ilikuwa ni hadhi ya nini?

Ni muda wa wana Simba kupaza sauti kupinga mambo ya namna hii kuona upendeleo wa waziwazi iwapo viongozi wana wapenzi yao hatuyakatai lakini katika leadership unaangalia usawa na fact na hisia kuweka pembeni

Sisi kama Simba hatujafurahishwa na mistreatement ya Simba na upendeleo kwa Yanga toka Jumba Jeupe. Hapa viongozi wanatufundisha nini sasa? Mambo ya kukatishana tamaa na kupeana upendeleo usio stahili, treatment lazima ziwe sawa kuleta afya katika jamii na siyo kuleta upenzi na hisia hiyo siyo leadership

Wasalaam
Si mfike fainali na nyinyi?
 
Mleta mada ana hoja ya msingi msijizime data, anasema Samia alipoingia ikulu aliwakuta Simba kwenye mashindano mbona hakutoa motisha?

Kwanini motisha imeanza kutolewa this time, huku mtaani tunaamini msoga wanahusika moja kwa moja kwenye hili, mapenzi yao kwa utopolo ndio wanamshawishi Samia aibebe timu yao wanayoipenda.
 
Mleta mada ana hoja ya msingi msijizime data, anasema Samia alipoingia ikulu aliwakuta Simba kwenye mashindano mbona hakutoa motisha?

Kwanini motisha imeanza kutolewa this time, huku mtaani tunaamini msoga wanahusika moja kwa moja kwenye hili, mapenzi yao kwa utopolo ndio wanamshawishi Samia aibebe timu yao wanayoipenda.
Kila kitu na wakati wake. Rais ana maamuzi mengi sana yakufanya , siyo kama yako, mwenzangu namie, hatuwashi hatuzimi👇🏾

 
Mleta mada ana hoja ya msingi msijizime data, anasema Samia alipoingia ikulu aliwakuta Simba kwenye mashindano mbona hakutoa motisha?

Kwanini motisha imeanza kutolewa this time, huku mtaani tunaamini msoga wanahusika moja kwa moja kwenye hili, mapenzi yao kwa utopolo ndio wanamshawishi Samia aibebe timu yao wanayoipenda.
Mlivyowaokota wale vibonde million 5 Mara 7 mlichukuwa million ngapi za mama? Au unajizima rada?

Tatizo huna kumbukumbu, Simba imechukuwa pesa za mama kwa vipers nje ndani, million 10, kwa wale vibonde goli 7/pigs hesabu mwenyewe, kwenye robo fainali kwa Mkapa Wydad goli moja million 10 na safari yenu ikaishia hapo mwakarobo.

Yanga imesonga mbele mpaka fainali ni kwa nini mnaumia? Kwa nini nguvu hizi msitumie kusajili kikosi bora kama ilivyofanya Yanga baada ya misimu minne ya maumivu?
 
Rais ndo kawafunga na kuwapa kikombe Cha robo?
Fika final upande ndege ya serikali bure kwenda na kurudi
 
Niko nje mada kwa anaejua salary scale TRAS 3:1 na TRAS4:1 ni shiling ngp?
 
Rage ajengewe sanamu Msimbazi, mambumbumbu yameamuwa kuprove kauli ya Rage.

Waulize wanaojuwa mpira Simba imepewa ndege Mara ngapi?

Je ni mama ndio amezuia Simba isifike fainali?

Fuseeeki.
Soma hoja siyo kuita names, kocha wenu alipowaita manyani vipi? So nipo mwanafamu najadili na nyani kima na tumbili? Apes from Jangwani? Tafadhali sana. Nasema hakuiona Simba na kutoa motisha ilipokuwa inashiriki mpaka kasubiria wachovu Yanga ndiyo aanze motisha?
 
Mlivyowaokota wale vibonde million 5 Mara 7 mlichukuwa million ngapi za mama? Au unajizima rada?

Tatizo huna kumbukumbu, Simba imechukuwa pesa za mama kwa vipers nje ndani, million 10, kwa wale vibonde goli 7/pigs hesabu mwenyewe, kwenye robo fainali kwa Mkapa Wydad goli moja million 10 na safari yenu ikaishia hapo mwakarobo.

Yanga imesonga mbele mpaka fainali ni kwa nini mnaumia? Kwa nini nguvu hizi msitumie kusajili kikosi bora kama ilivyofanya Yanga baada ya misimu minne ya maumivu?
Tusijibu kama hatuna uelewa. Naongelea seasons alizokuwa anacheza Simba bila Yanga kuwepo Mama alitoa pesa? Talking back 2022 na 2021. Mpaka Yanga aje ndipo motisha zitoke? Mambo ya ajabu sana haya
 
Rais ndo kawafunga na kuwapa kikombe Cha robo?
Fika final upande ndege ya serikali bure kwenda na kurudi
Unaposema fainali kwanza mashindano yapi? Hukuwa na Simba klabu Bingwa Afrika? Ulitolewa huko lini? Ukaponea kanuni za CAF kwenda kucheza kwa wabovu unaropola nini? Kuna timu yeyote ya maana umecheza nayo huko uchovuni?
 
Back
Top Bottom