Upendo kwenye Mahusiano unaupimaje?

Upendo kwenye Mahusiano unaupimaje?

Mkuu kwa nn umesema siwezi kutumia condoms!?? Nimeona watu wengi pia kwenye michango yao wanaongelea umakini kuwa sina. Nataka niseme hapa, pamoja na udhaifu wangu huo ambao nimeusema mwenyewe, lkn haina maana kwamba me sina akili kabisaa!

Moja ya misimamo yangu kwa demu yoyote wa nje, ni matumizi ya kinga. Hili Wala sina shaka nalo kwa sababu lipo kwenye maamuzi yangu. Na kuhusu kupima mara ya mwisho nimepima kabla sijarudi dar kwenye familia yangu. Nilipima tarehe 25 mwezi march na majibu haya hapa chini. [emoji116][emoji116] Nashukuru mkuu kwa maoni yako kuhusu mikosi na Mambo mengine yanayofanana na hilo.

Kuna watu wanajifanya hapa ni watakatifu baada ya kusoma hiki nilichoandika, wanasahau kwamba wapo wenye matendo maovu zaidi yangu ila hawajaamua kujiweka hadharani..View attachment 1797160
Asante mkuu kwenye matumizi ya condom ndio maana nikatumia neno PENGINE.. Haya mambo ukivuka salama bila damage kubwa ni kumshukuru Mungu sana...nakuombea nawe kikombe hiki kikuepuke japo lazima kuna maumivu na damage vinaweza kutokea
 
Asante mkuu kwenye matumizi ya condom ndio maana nikatumia neno PENGINE.. Haya mambo ukivuka salama bila damage kubwa ni kumshukuru Mungu sana...nakuombea nawe kikombe hiki kikuepuke japo lazima kuna maumivu na damage vinaweza kutokea
Amina na Ahsante sana mkuu..!![emoji120][emoji120][emoji120]
 
Endelea kula mema ya nchi vitamu haviachwi kama magonjwa tumeumbiwa binadamu kama kufa tutakufa wote all the best
 
Kuna waliojaliwa na K tamu halafu watundu. Bila shaka huyu yuko hivyo. Jamaa anaelewa anachokifanya si sawa lakini akifikiria kumkosa huyo mrembo anajipiga kifua LIWALO NA LIWE!
Haya mambo haya ukivuka salama ni kumshukuru Mungu na ukiweza ni kutoa na sadaka kabisa
 
Ni rahisi sana kufanya hivyo lakini tatizo linakuna kwenye ku maintain ... Itabidi uwe unapeleka huduma zote ... Nyumba ndogo ni pasua kichwa asikwambie mtu
Pasua kichwa mno hasa akiwa official mchepuko
 
Kuna watu hata MUNGU hamumwogopi kabisa.
Yaani unatuhadithia jinsi unavyofanya "uzinzi na uasherati" halafu unajiita "Mkristo"?
Wakristo tumefundishwa kuwa, chakula ni kwa ajili ya tumbo na tumbo ni kwa chakula lakini mwili siyo kwa ajili ya zinaa. Mwili wako ni hekalu la ROHO MTAKATIFU. Na yeyote anaye linajisi hekalu la ROHO MTAKATIFU na yeye ataangamizwa.
Ndugu yangu ikimbie zinaa, bado hujachelewa. Unayo nafasi ya kutubu na kuacha hiyo zinaa.
 
NIMESISIMKWA KWA HOFU NA HASIRA KAMA MKE NA MAMA WA FAMILIA. Mungu tusaidie
 
Kuna watu hata MUNGU hamumwogopi kabisa.
Yaani unatuhadithia jinsi unavyofanya "uzinzi na uasherati" halafu unajiita "Mkristo"?
Wakristo tumefundishwa kuwa, chakula ni kwa ajili ya tumbo na tumbo ni kwa chakula lakini mwili siyo kwa ajili ya zinaa. Mwili wako ni hekalu la ROHO MTAKATIFU. Na yeyote anaye linajisi hekalu la ROHO MTAKATIFU na yeye ataangamizwa.
Ndugu yangu ikimbie zinaa, bado hujachelewa. Unayo nafasi ya kutubu na kuacha hiyo zinaa.
Mkuu Son of Gamba mbona umeongea kama vile wewe umekamilika Sana? Hivi kwenye zile Amri 10 za Mungu wewe hujawahi kuvunja hata moja? Maana maandiko yanasema ukivunja Amri moja Kati hizo ni sawa na kuvunja zote! Umemaliza kwa kumpa ushauri mzuri sana, yeye atapima ushauri tunaompa hapa atakaoona unafaa ataufanyia kazi. Labda tu na mm kwa kumuongezea, mkuu ngungwangungwa Me nakupa maneno mafupi Sana, Acha kujifikiria mwenyewe, wafikirie pia mke wako, watoto wako na hata wazazi wako jinsi watakavyoumia utakapokufa kwa maradhi ya kujitakia. Na kwa nn umuache mke wako mjane, uache watoto wako yatima kwa sababu ya ubinafsi??
 
hiyo waarabu kina tigonyeupe wanaita FRIEND WITH BENEFIT..
i like that lifestyle but shida ni magonjwa mtambuka tuu
 
Pasua kichwa mno hasa akiwa official mchepuko
Namshukuru Mungu nilivuka salama japo damage haikuwa ya kitoto.. But its over now.. Naishi maisha mapya ya furaha na amani tele
 
Kuna watu hata MUNGU hamumwogopi kabisa.
Yaani unatuhadithia jinsi unavyofanya "uzinzi na uasherati" halafu unajiita "Mkristo"?
Wakristo tumefundishwa kuwa, chakula ni kwa ajili ya tumbo na tumbo ni kwa chakula lakini mwili siyo kwa ajili ya zinaa. Mwili wako ni hekalu la ROHO MTAKATIFU. Na yeyote anaye linajisi hekalu la ROHO MTAKATIFU na yeye ataangamizwa.
Ndugu yangu ikimbie zinaa, bado hujachelewa. Unayo nafasi ya kutubu na kuacha hiyo zinaa.
Bora yeye kasema ukweli wake ili asaidiwe. Vip wale walioficha dhambi zao na hawaitaji msaada wowote?
 
Mammae,, zee la fote huko unakula binti kigori...

Naomba tu usimle Ndogo...
 
Back
Top Bottom