Huyu huyu waliogombea mwili WA marehemu!! Na mwenye mume!! Hafai hata Kwa dawa, ila wakiangalia sura atawafaaNina hasra Mkuu, wanatuharbia nchi watu wa tabia hii.
Kuna mjinga mwingine juz anamponda sana Luhaga kumbe anafukuzia teuzi za Uwaziri wa Sheria. Hovyo sana hawa watu.